Mnanyima watoto kusoma kisa CHADEMA?

Wana JF,

Wakati tukisoma shule hasa zile za msingi, tumesoma sana kuhusu unyanyasaji wa wakoloni, na tumeimbishwa nyimbo nyingi sana. Cha ajabu bado waandishi wanaandika athari za ukoloni!

Mimi ninapendekeza wale wenye kipaji cha uandishi kuanza kuandika kuhusu unyama na unyanyasaji wa CCM. Nimekasirika kusoma huku jamvini kwamba kata zilizochukuliwa na CDM zinanyanyaswa na serikali ya CCM. Ni vema haya matukio yakawa documented kwenye vitabu na nina uhakika kwamba vitatoa elimu uraia sana. Pia ikumbukwe magazeti ni ya kupita. Sio rahisi kua na reference ya gazeti la zamani la mwana halisi, lakini kitabu kikiandika manyanyaso ya CCM 1995- 2015 (Mfano) itasaidia sana kuweka record sawa hata kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha wakuu.
 
Watu hawana pakusemea na watanzania wamejengewa uoga hivyo kunahitajika mtu wa kuwaonyesha pakuanzia kumbuka watu hawa hata vyombo vya habari kwao ni shida kuwafikia lakini watu hawa wakipata pakuanzia amini usiami huwa ni wabaya kuliko wa mjini....
juzi nilisia kuna kijiji walimchomoa mharifu kutoka kwenye ofisi ya kata na waka muua....

Then haya maandamano ni mazuri sana,..
kama wanaingia hadi vijijini inapendeza kweli,..
Afu kope nauye anasema ndo utumiaji mbaya wa ruzuku,...wao wanatumiaje vizuri?
 
Wana JF,

Wakati tukisoma shule hasa zile za msingi, tumesoma sana kuhusu unyanyasaji wa wakoloni, na tumeimbishwa nyimbo nyingi sana. Cha ajabu bado waandishi wanaandika athari za ukoloni!

Mimi ninapendekeza wale wenye kipaji cha uandishi kuanza kuandika kuhusu unyama na unyanyasaji wa CCM. Nimekasirika kusoma huku jamvini kwamba kata zilizochukuliwa na CDM zinanyanyaswa na serikali ya CCM. Ni vema haya matukio yakawa documented kwenye vitabu na nina uhakika kwamba vitatoa elimu uraia sana. Pia ikumbukwe magazeti ni ya kupita. Sio rahisi kua na reference ya gazeti la zamani la mwana halisi, lakini kitabu kikiandika manyanyaso ya CCM 1995- 2015 (Mfano) itasaidia sana kuweka record sawa hata kwa vizazi vijavyo.

Nawasilisha wakuu.

Fikra makini kweli,safi sana!
 
Hii ni khatari kubwa sana kwani elimu ni haki ya msingi kabisa kwa watoto na imebainishwa wazi na sheria za Tanzania.

Kuwanyima kwa aina yoyote ile Elimu watoto ni kukiuka maadili na kuvunja sheria za tanzania.

nashauri wote waliohusika kuifunga hiyo shule wapelekwe mahakamani.
 
Tuweke mikakati hapa JF angalau kufuatilia kilichojiri na kitakachojiri kuhusu watz kufungiwa shule kwa sab wamechagua chama mbadala,kama wananchi walilalamika sab ya kufungiwa shule ni kuwaadhibu basi lazima hatua za kiuanaharakati na haki za binadamu na sheria zifanye kazi kuhakikisha shule inafunguliwa na waliohusika kufunguliwa mashtaka
 
Tuweke mikakati hapa JF angalau kufuatilia kilichojiri na kitakachojiri kuhusu watz kufungiwa shule kwa sab wamechagua chama mbadala,kama wananchi walilalamika sab ya kufungiwa shule ni kuwaadhibu basi lazima hatua za kiuanaharakati na haki za binadamu na sheria zifanye kazi kuhakikisha shule inafunguliwa na waliohusika kufunguliwa mashtaka

Sure,..
naamini wale wabunge walio ona shule hiyo
hawata kaa kimya,..
 
Back
Top Bottom