Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,841
- 5,829
Acha uboya aisee! Fuata ushauri. It's not about the money but the person.Mmmmh! Aisee wanadai mpaka wakupende Sasa mm nitajuaje Kwamba wananipenda.
Acha uboya aisee! Fuata ushauri. It's not about the money but the person.Mmmmh! Aisee wanadai mpaka wakupende Sasa mm nitajuaje Kwamba wananipenda.
Kweli mkuu?Acha uboya aisee! Fuata ushauri. It's not about the money but the person.
Anapigwa ngumi mm mwenyewe mbavu ujasiri huo wa kuniambia hivyo atautoa wapi?Hivi ikikujia njemba mbavu nene ikakuambia imekupenda unamjibu nini?
Una umri ganMmmmh! Aisee wanadai mpaka wakupende Sasa mm nitajuaje Kwamba wananipenda.
Dah unaandika kama unawahi chooni mzeeWakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.
Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.
Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.
Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Kote uko sawa top dawg 💪, ila mbona unajisiliba tena..How the fuk unakosa girlfriend wa kupiga? Mimi nikitoka tu nje hatua 10 mbele siwezi kukosa mtoto mzuri.
Fanya hivi:
Fanya mazoezi jenga mwili wenye afya, sio kama wale wase**e mabody bulder, hapana. Maana yake usiwe bonge wala mwembamba kama sigara sababu automatically watu watakuchukulia poa, especially wanawake. Jenga mwili fit.
Nyoa nywele style safi.
Vaa nguo kali na safi, vaa nguo stylish na za kiume, buti, raba kali, jeans au kitambaa, fulana na koti eidha jeans au kitambaa. Usivae kama mshamba, mluga luga au mchungaji masuti suti makubwa kama unaenda kuzikwa.
Jua kuongea kwa sauti na smartly na sio unaongea kama unakimbizwa na panya road huku moyo unadunda kama mpira wa simba na yanga. Na vilevile kuwa charming sio unajing'ata ng'ata kama demu na kujificha ficha, au kigugumizi.
Tumia sauti nzito hasa ukikutana na demu usiyemjua. Na ongea taratibu na uhakikishe unasikika huku ukiwa na smile usoni ili umfanye comfortable, relaxed na safe. Trust me, wanawake wanasense kama unamuogopa.
Hakikisha unamuangalia machoni, angalia pembeni then atakubandika lebel ya BOYA.
Hivyo vitu automatically vinaonesha confidence hivyo hakuna haja ya kukwambia kuwa confident vaguely. Pia vinapandisha status yako, na automatically mwanamke atakuona uko juu zaidi yake na hatokuwa na mbavu za kukukatalia sababu wanawake wanapenda watu waliowazidi kila kitu hadi urefu. Au wewe ni mfupi mkuu? Haijalishi wewe fuata maneno yangu.
Hayo yote ni muhimu lakini hayatokuwa effective kama akili yako au mental health yako is shit. Hivyo kufix hilo, hakikisha kila girl unayemuona ni average au below average. Muone yuko chini yako. Utamuapproach ili kumcheck kama atanifaa au lah. Na unapoapproach demu hakikisha sio unaenda kumfurahisha na kumridhisha yeye, hapana, bali nenda kamcheck uone kama yeye atakuridhisha wewe au lah. Kama hakuridhishi mpotezee piga chini. Tafuta mwingine.
Na kingine cha muhimu kabisa ni usiwe lialia, usiwe needy wala muhitaji sana. Wewe chukulia kama mchezo wa kubeti, except hauna cha kupoteza kama ukishindwa. Na njia pekee ya kutokuwa needy ni kuwa na goal au kitu unafanya then automatically watakuja wenyewe baada ya kufanya yote ya juu.
Hii ni kwa ajili ya watu waoga waoga wanaoogopa wanawake. Binafsi kila mwanamke ninayemuona ni yupo chini yangu automatically, it's just who I'm. Selfish, condescending, narcissistic human being.
Deal with it au subiri uje kuitwa The 40-year-old Virgin kama huyo jamaa kwenye hiyo movie.
Hii akili hii😂😂Tafuta baby muuza mgahawa. Unakula free food unasave hela ya chakula ili uje umpe aone unamhudumia
Because I don't seek validation. Because don't care about what you say or think.Kote uko sawa top dawg 💪, ila mbona unajisiliba tena..
🥲🥲piga nyeto tu kaka
Utaweza bhanaDuuu! Ni noma sana hapo inabidi utafute Hela ya mahali, kiwanja,mtaji hafu bado mta gawana 50 Kwa 50View attachment 2967293
Kuweza na weza ila mipango mingine itasimamaUtaweza bhana
Duuh, sema kuwa single ni taabuKuweza na weza ila mipango mingine itasimama
Yani yote hayo kwa ajili ya kuvutia wanawake!!!! Msiwa-ovaratte sana hao viumbe😉😁How the fuk unakosa girlfriend wa kupiga? Mimi nikitoka tu nje hatua 10 mbele siwezi kukosa mtoto mzuri.
Fanya hivi:
Fanya mazoezi jenga mwili wenye afya, sio kama wale wase**e mabody bulder, hapana. Maana yake usiwe bonge wala mwembamba kama sigara sababu automatically watu watakuchukulia poa, especially wanawake. Jenga mwili fit.
Nyoa nywele style safi.
Vaa nguo kali na safi, vaa nguo stylish na za kiume, buti, raba kali, jeans au kitambaa, fulana na koti eidha jeans au kitambaa. Usivae kama mshamba, mluga luga au mchungaji masuti suti makubwa kama unaenda kuzikwa.
Jua kuongea kwa sauti na smartly na sio unaongea kama unakimbizwa na panya road huku moyo unadunda kama mpira wa simba na yanga. Na vilevile kuwa charming sio unajing'ata ng'ata kama demu na kujificha ficha, au kigugumizi.
Tumia sauti nzito hasa ukikutana na demu usiyemjua. Na ongea taratibu na uhakikishe unasikika huku ukiwa na smile usoni ili umfanye comfortable, relaxed na safe. Trust me, wanawake wanasense kama unamuogopa.
Hakikisha unamuangalia machoni, angalia pembeni then atakubandika lebel ya BOYA.
Hivyo vitu automatically vinaonesha confidence hivyo hakuna haja ya kukwambia kuwa confident vaguely. Pia vinapandisha status yako, na automatically mwanamke atakuona uko juu zaidi yake na hatokuwa na mbavu za kukukatalia sababu wanawake wanapenda watu waliowazidi kila kitu hadi urefu. Au wewe ni mfupi mkuu? Haijalishi wewe fuata maneno yangu.
Hayo yote ni muhimu lakini hayatokuwa effective kama akili yako au mental health yako is shit. Hivyo kufix hilo, hakikisha kila girl unayemuona ni average au below average. Muone yuko chini yako. Utamuapproach ili kumcheck kama atanifaa au lah. Na unapoapproach demu hakikisha sio unaenda kumfurahisha na kumridhisha yeye, hapana, bali nenda kamcheck uone kama yeye atakuridhisha wewe au lah. Kama hakuridhishi mpotezee piga chini. Tafuta mwingine.
Na kingine cha muhimu kabisa ni usiwe lialia, usiwe needy wala muhitaji sana. Wewe chukulia kama mchezo wa kubeti, except hauna cha kupoteza kama ukishindwa. Na njia pekee ya kutokuwa needy ni kuwa na goal au kitu unafanya then automatically watakuja wenyewe baada ya kufanya yote ya juu.
Hii ni kwa ajili ya watu waoga waoga wanaoogopa wanawake. Binafsi kila mwanamke ninayemuona ni yupo chini yangu automatically, it's just who I'm. Selfish, condescending, narcissistic human being.
Deal with it au subiri uje kuitwa The 40-year-old Virgin kama huyo jamaa kwenye hiyo movie.
Tafuta pesaWakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.
Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.
Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.
Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Not overeating, wala sio kwa ajili ya kuattract girls. Hayo haufanyi bali ni mambo natural ya high value men.Yani yote hayo kwa ajili ya kuvutia wanawake!!!! Msiwa-ovaratte sana hao viumbe😉😁