Mnanishaurije maana mimi sielewi

Usiogope Mi na mademu watatu na wote wanajua sina hela ila wawili nimekata nao mawasiliano nimebaki na mmoja ili nisiwe mkosa pesa na mkosa uaminifu
 
Wakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.

Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.

Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.

Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Dah unaandika kama unawahi chooni mzee
 
How the fuk unakosa girlfriend wa kupiga? Mimi nikitoka tu nje hatua 10 mbele siwezi kukosa mtoto mzuri.

Fanya hivi:
Fanya mazoezi jenga mwili wenye afya, sio kama wale wase**e mabody bulder, hapana. Maana yake usiwe bonge wala mwembamba kama sigara sababu automatically watu watakuchukulia poa, especially wanawake. Jenga mwili fit.
Nyoa nywele style safi.
Vaa nguo kali na safi, vaa nguo stylish na za kiume, buti, raba kali, jeans au kitambaa, fulana na koti eidha jeans au kitambaa. Usivae kama mshamba, mluga luga au mchungaji masuti suti makubwa kama unaenda kuzikwa.
Jua kuongea kwa sauti na smartly na sio unaongea kama unakimbizwa na panya road huku moyo unadunda kama mpira wa simba na yanga. Na vilevile kuwa charming sio unajing'ata ng'ata kama demu na kujificha ficha, au kigugumizi.
Tumia sauti nzito hasa ukikutana na demu usiyemjua. Na ongea taratibu na uhakikishe unasikika huku ukiwa na smile usoni ili umfanye comfortable, relaxed na safe. Trust me, wanawake wanasense kama unamuogopa.
Hakikisha unamuangalia machoni, angalia pembeni then atakubandika lebel ya BOYA.
Hivyo vitu automatically vinaonesha confidence hivyo hakuna haja ya kukwambia kuwa confident vaguely. Pia vinapandisha status yako, na automatically mwanamke atakuona uko juu zaidi yake na hatokuwa na mbavu za kukukatalia sababu wanawake wanapenda watu waliowazidi kila kitu hadi urefu. Au wewe ni mfupi mkuu? Haijalishi wewe fuata maneno yangu.

Hayo yote ni muhimu lakini hayatokuwa effective kama akili yako au mental health yako is shit. Hivyo kufix hilo, hakikisha kila girl unayemuona ni average au below average. Muone yuko chini yako. Utamuapproach ili kumcheck kama atanifaa au lah. Na unapoapproach demu hakikisha sio unaenda kumfurahisha na kumridhisha yeye, hapana, bali nenda kamcheck uone kama yeye atakuridhisha wewe au lah. Kama hakuridhishi mpotezee piga chini. Tafuta mwingine.
Na kingine cha muhimu kabisa ni usiwe lialia, usiwe needy wala muhitaji sana. Wewe chukulia kama mchezo wa kubeti, except hauna cha kupoteza kama ukishindwa. Na njia pekee ya kutokuwa needy ni kuwa na goal au kitu unafanya then automatically watakuja wenyewe baada ya kufanya yote ya juu.

Hii ni kwa ajili ya watu waoga waoga wanaoogopa wanawake. Binafsi kila mwanamke ninayemuona ni yupo chini yangu automatically, it's just who I'm. Selfish, condescending, narcissistic human being.

Deal with it au subiri uje kuitwa The 40-year-old Virgin kama huyo jamaa kwenye hiyo movie.
Kote uko sawa top dawg 💪, ila mbona unajisiliba tena..
 
Kote uko sawa top dawg 💪, ila mbona unajisiliba tena..
Because I don't seek validation. Because don't care about what you say or think.
Considering nilivyovisema sio weaknesses bali important features kama unataka kuishi kwa amani duniani. Ukiwa Selfish utajijali mwenyewe which is good.

Ukiwa narcissistic, not in a literal manner like seeking approval and validation or some shit, No. But vaguely, then hautoweka watu kwenye pedestals na kuwaona bora zaidi yako. Means utakuwa na high self esteem.

Ukiwa condescending na arrogant, sio lazima uonyeshe kama udharau watu, bali utakuwa unawaona watu kwa jinsi walivyo, na utakuwa unaweza kuona wanachofikiria. Hence kuwafanya wafanye unavyotaka bila wao kujua.

They're the most essential features to ensure a significant stability level of a man's survival.
 
Duuu! Ni noma sana hapo inabidi utafute Hela ya mahali, kiwanja,mtaji hafu bado mta gawana 50 Kwa 50
8bc0adc0-6f19-4349-92bb-3324530075a1.jpg
 
How the fuk unakosa girlfriend wa kupiga? Mimi nikitoka tu nje hatua 10 mbele siwezi kukosa mtoto mzuri.

Fanya hivi:
Fanya mazoezi jenga mwili wenye afya, sio kama wale wase**e mabody bulder, hapana. Maana yake usiwe bonge wala mwembamba kama sigara sababu automatically watu watakuchukulia poa, especially wanawake. Jenga mwili fit.
Nyoa nywele style safi.
Vaa nguo kali na safi, vaa nguo stylish na za kiume, buti, raba kali, jeans au kitambaa, fulana na koti eidha jeans au kitambaa. Usivae kama mshamba, mluga luga au mchungaji masuti suti makubwa kama unaenda kuzikwa.
Jua kuongea kwa sauti na smartly na sio unaongea kama unakimbizwa na panya road huku moyo unadunda kama mpira wa simba na yanga. Na vilevile kuwa charming sio unajing'ata ng'ata kama demu na kujificha ficha, au kigugumizi.
Tumia sauti nzito hasa ukikutana na demu usiyemjua. Na ongea taratibu na uhakikishe unasikika huku ukiwa na smile usoni ili umfanye comfortable, relaxed na safe. Trust me, wanawake wanasense kama unamuogopa.
Hakikisha unamuangalia machoni, angalia pembeni then atakubandika lebel ya BOYA.
Hivyo vitu automatically vinaonesha confidence hivyo hakuna haja ya kukwambia kuwa confident vaguely. Pia vinapandisha status yako, na automatically mwanamke atakuona uko juu zaidi yake na hatokuwa na mbavu za kukukatalia sababu wanawake wanapenda watu waliowazidi kila kitu hadi urefu. Au wewe ni mfupi mkuu? Haijalishi wewe fuata maneno yangu.

Hayo yote ni muhimu lakini hayatokuwa effective kama akili yako au mental health yako is shit. Hivyo kufix hilo, hakikisha kila girl unayemuona ni average au below average. Muone yuko chini yako. Utamuapproach ili kumcheck kama atanifaa au lah. Na unapoapproach demu hakikisha sio unaenda kumfurahisha na kumridhisha yeye, hapana, bali nenda kamcheck uone kama yeye atakuridhisha wewe au lah. Kama hakuridhishi mpotezee piga chini. Tafuta mwingine.
Na kingine cha muhimu kabisa ni usiwe lialia, usiwe needy wala muhitaji sana. Wewe chukulia kama mchezo wa kubeti, except hauna cha kupoteza kama ukishindwa. Na njia pekee ya kutokuwa needy ni kuwa na goal au kitu unafanya then automatically watakuja wenyewe baada ya kufanya yote ya juu.

Hii ni kwa ajili ya watu waoga waoga wanaoogopa wanawake. Binafsi kila mwanamke ninayemuona ni yupo chini yangu automatically, it's just who I'm. Selfish, condescending, narcissistic human being.

Deal with it au subiri uje kuitwa The 40-year-old Virgin kama huyo jamaa kwenye hiyo movie.
Yani yote hayo kwa ajili ya kuvutia wanawake!!!! Msiwa-ovaratte sana hao viumbe😉😁
 
Wakuu ni mwaka wa nne Sasa Sina hata girl friend nilikua nae wakuzugia tangu nilipo kuwa na miaka 23 hadi Sasa nipo bila bila yaani sielewi.

Japo walikuwepo walio nishawishi hapo katika japo mimi ule uwoga wa maisha na kuona Sina cha kuwapa magonjwa pia unyumbani nikawa naona Jau.

Pia nilipita ugenini sio hapa napo kaa Sasa ila pale nilikaa Kwa mdaa mfupi na maokoto yalikuwepo kimtindo ila nilihama.

Sasa hapa nilipo Kwa Sasa Kwa miezi niliokaa napata pesa Ya kunitosha mm mwenyewe tu Kila nikifikiri kutafuta mwenza na nikiangalia maokoto yalivyo nakata tamaa ukichanganya na stori za wanawake wenyewe wanakuambia pesa mbele sasa Mimi naishia kukata tamaa. Je niendelee kujitafuta au ni force maana umri nao unanitupa mkono aisee.
Tafuta pesa
 
Yani yote hayo kwa ajili ya kuvutia wanawake!!!! Msiwa-ovaratte sana hao viumbe😉😁
Not overeating, wala sio kwa ajili ya kuattract girls. Hayo haufanyi bali ni mambo natural ya high value men.

Kama unauza viroba vya mkaa lazima ushangae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom