Mnanichosha

Mnanichosha

mie nashangaaga mtu unakutana kwenye daladala eti naomba namba yako

ya nini hata jibu la maana hana

Because life is too fast atahitaji muda wa ziada kuongea nawe na kukufahamu!

Mimi sioni shida kumpa mtu namba (au kumnyima) ila kujua wewe kama kijana (wa kike/kiume) malengo yako kimaisha ndiko kutakako determine muelekeo.

Mfano mzuri mwaka juzi,2011 nikiwa kanisani tena...nilimuona binti mrembo sana akienda kutoa sadaka. Nikajiambia huyu baada ya ibada lazima nikamjulie hali/kumsabahi tu (kwa roho safi). Sasa ilipofika wakati wa sadaka ya pili nikamuona ametoa na kutoka nje kuelekea nyumbani. Haraka nikajua hapa ndo sitoweza kumuona. Hivyo nikatoka nje and the only thing ningeweza kufanya (since nilitaka kurudi ibadani immediately) ilikuwa kumuomba namba yake ya simu. Of course alinipa nanikarudi ibadani. Yaliyoendelea hapo ni a story for another day...

What am saying is, kutokana na utandawazi na maisha ya sasa yalivyo most probably you will meet your future man/wife through one of these technological gadgets.kama si hivyo basi they will play a very big role katika r/ship yenu. :A S-key:
 
Add yangu SLP Private bag, Sumbawanga. keri off katibu tarafa
 
i am too old for this...

unanisaidia sana kunena mpaka naamuaga kubaki kule kwenye biashara na matangazo madogo madogo.
Nahisi km huku hakunihusu kwa sababu hizi hizi. Hakunaga sana topic za maana na watoto wa form one wako wengi sana siku hizi wanataka kujifunza mapenzi kwa id fake
 
mie nashangaaga mtu unakutana kwenye daladala eti naomba namba yako

ya nini hata jibu la maana hana

Sasa heaven on earth, nisipochukua namba tutapata wapi muda wa kuongea na kujuana vizuri na tupo ndani ya daladala? If am interested on you n we are in unpleasant place due to what I want to tell you, what first clicks my mind is give you warmly greeting n ask for your mobile number.
Nyinyi pondeni kuhusu hili swala la kuomba number! Nitakutana nawe vipi bila mawasiliano ya simu? How will I start dating you without having your phone number. Nitaendelea kuomba nakuomba hadi hapoo.........
 
Because life is too fast atahitaji muda wa ziada kuongea nawe na kukufahamu!

Mimi sioni shida kumpa mtu namba (au kumnyima) ila kujua wewe kama kijana (wa kike/kiume) malengo yako kimaisha ndiko kutakako determine muelekeo.

Mfano mzuri mwaka juzi,2011 nikiwa kanisani tena...nilimuona binti mrembo sana akienda kutoa sadaka. Nikajiambia huyu baada ya ibada lazima nikamjulie hali/kumsabahi tu (kwa roho safi). Sasa ilipofika wakati wa sadaka ya pili nikamuona ametoa na kutoka nje kuelekea nyumbani. Haraka nikajua hapa ndo sitoweza kumuona. Hivyo nikatoka nje and the only thing ningeweza kufanya (since nilitaka kurudi ibadani immediately) ilikuwa kumuomba namba yake ya simu. Of course alinipa nanikarudi ibadani. Yaliyoendelea hapo ni a story for another day...

What am saying is, kutokana na utandawazi na maisha ya sasa yalivyo most probably you will meet your future man/wife through one of these technological gadgets.kama si hivyo basi they will play a very big role katika r/ship yenu. :A S-key:

I didint see this quote.......leo ndio naiona

ni kweli usemayo ila sometimes u can find it very strange........na mie mara nyingi huwa

sitoi namba yangu for sure....naona ka sijakuzoea all over the sudden u want my No...
 
Sasa heaven on earth, nisipochukua namba tutapata wapi muda wa kuongea na kujuana vizuri na tupo ndani ya daladala? If am interested on you n we are in unpleasant place due to what I want to tell you, what first clicks my mind is give you warmly greeting n ask for your mobile number.
Nyinyi pondeni kuhusu hili swala la kuomba number! Nitakutana nawe vipi bila mawasiliano ya simu? How will I start dating you without having your phone number. Nitaendelea kuomba nakuomba hadi hapoo.........

sawa bana nimewaelewa..........ila kama una mpenzi halafu A STRNGER akakuomba no

utampatia........
 
mie nashangaaga mtu unakutana kwenye daladala eti naomba namba yako

ya nini hata jibu la maana hana
maswali mengine uje hua mnazingua!!
unaulizaje namba ni ya nini? kwan namba kazi yake ni nini?
me bora uniambiie wazi kua hutaki, na hunipi namba yako.
sasa chaajabu mwisho wa siku hua mnatoa namba na mnatoa na kitu yenu.
 
Teh.... Nisiyemfahamu simpi, ila ninayefahamiana naye nampa akileteza za kuleta "IGNORE LIST" Itamuhusu saaaana!!!
 
maswali mengine uje hua mnazingua!!
unaulizaje namba ni ya nini? kwan namba kazi yake ni nini?
me bora uniambiie wazi kua hutaki, na hunipi namba yako.
sasa chaajabu mwisho wa siku hua mnatoa namba na mnatoa na kitu yenu.

mie namba sitoi ovyo..ndio unataka ya nini eti niwe nakusalimia
 
I didint see this quote.......leo ndio naiona

ni kweli usemayo ila sometimes u can find it very strange........na mie mara nyingi huwa

sitoi namba yangu for sure....naona ka sijakuzoea all over the sudden u want my No...

Ahaaaaa......

Kumbeeee

Orayt......
 
mie nashangaaga mtu unakutana kwenye daladala eti naomba namba yako

ya nini hata jibu la maana hana

Naomba namba yako........tafadhali. Aisee mimi nina aibu sana.........siwezi kumsimamisha mwanamke ambaye simjui......na hata nikimsimamisha akiniangalia naweza nikakimbia.......yaani kwa kifupi kutongoza ni zero...sijui kabisaa.
 
Kwa wale ambao cm ndo mtaj pekee inakuwaje??

Siku hz town cm ndo mtaj ukicheza unapigwa na kuachwa domo wazi.

Maborn twn tumezoea, hiz swangaz
 
Anza kutumia redio kolu hautaombwa...

Ova!!!
 
Back
Top Bottom