Mnanichosha

Mnanichosha

Broken soul

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
459
Reaction score
131
Unakutana na mtu jinsia tofauti

Anakuomba # ya simu,

Katika dunia ya sasa kumwambia mtu huna simu ni uongo usio Hata na chembe ya aibu
Huna jinsi unatoa tu kishingo upate

Anaanza kukutafuta

Mnachat

Mnazoeana


Kama mwanamke anaanza kukutangazia shida zake

Mara oo nimefiwa

Mara mama naumwa

Naomba ntumie pesa


Kama ni mwanaume nae

Anaanza sijui unaboyfriend??!

Sijui nimevutiwa na wewe

Mara amefall

Yani simu hizi

Mh heri nirejee kwnye SLP
 
Karibu slp.com me nipo huku kitambo,,;,,,;,,,,,, tupia box no tukumbukane kwa barua!!!!!!!!!!!!
 
mm ndo zangu hzo...na cwez kuacha japo umekuja kuninanga na uzi wako...
 
pole kwa kuchoshwa na hiyo tabia,jiburudishe na huu wimbo.

Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Karibu slp.com me nipo huku kitambo,,;,,,;,,,,,, tupia box no tukumbukane kwa barua!!!!!!!!!!!!

Nitumie SLP yako uone kama sijakutumia barua yenye maua na alama ya moyo uliochomwa mkuki katikati na moyo unatoa na damu si una kwepa kuulizwa kunako simu?
 
mie ni 57 lindi,afu kuna demu tumejuana mtandaoni eti anataka nimnunulie simu 150000 bila kula mzigo anadhan mi mjinga sana

ok,,,,, ngoja nikanunue karatasi ya maua na stika nikutumie fasta ndani lazima nitupie dedication song!!!!!!!!!! sijui wapenda nyimbo gani we?????????????!????
Mtoto kaogopa kukatwa bora umpe chake mapema.................
 
Nitumie SLP yako uone kama sijakutumia barua yenye maua na alama ya moyo uliochomwa mkuki katikati na moyo unatoa na damu si una kwepa kuulizwa kunako simu?

Chukua hiyo 234 Bukoba,,,,,,,,,,,, napenda hiyo kitu tuma basi ntaitunza hiyo barua chini ya mto wangu!!!!!!!!!! na kuikumbatia with love n' kisses whenever i feel lonely!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
ok,,,,, ngoja nikanunue karatasi ya maua na stika nikutumie fasta ndani lazima nitupie dedication song!!!!!!!!!! sijui wapenda nyimbo gani we?????????????!????
Mtoto kaogopa kukatwa bora umpe chake mapema.................

mie napenda ule wa my heart will go on wa mwanadada celine dion
 
mie nashangaaga mtu unakutana kwenye daladala eti naomba namba yako

ya nini hata jibu la maana hana
 
Karibu slp.com me nipo huku kitambo,,;,,,;,,,,,, tupia box no tukumbukane kwa barua!!!!!!!!!!!!


AA mimi narudi huku asee simu zishanishinda

5458 Dar es salaam, tukumbukane na barua uwe unaipulizia perfum kidogo nikiwa naisoma angalau naenjoy lol
 
Back
Top Bottom