Tola alikuwa mchoyo sana alikuwa anapenda kula gizan wakati wa usiku, anapotoka kulewa anarudi anakuta watoto wake wamelaa anaanza kula chakula alichoficha ,kumbe siku moja konokono aliingia kwenye msosi.......si akaanza kula kimyakimya alitema CHENCHI za kutosha hadi watoto wake wakaamka wakamshtukia.......umenikumbusha the way BEFORE