The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Good point!
Majuzi tu hapa kuna mdogo wangu mmoja nilimpeleka na baadaye kwenda kumchukua hapo Maisha.
Crowd niliyoiona ikiingia na kutoka kweli ilikuwa kwenye hilo rika ulilolitaja.
Sikuona watu wazima wenye umri mkubwa (at least kimuonekano) wakiingia na kutoka.
Halafu huku night clubs ni kama for teenagers
watu above 30 ni bar na guest houses tu... strange culture kwa kweli
ukiingia night club ni wanafunzi wa vyuo na secondary..
no wonder sex ndo only thing after work...hakuna places za ku hang out much for elders zaidi ya bars...na guest houses.,hotels ..