Ata mimi hivyo hivyo mnavyosema nyie...!
mwana we wakishua nini ....Ilikuwaga inaonyeshwa CCTV mida ya saa 1 jion
Kwenye kin'gamuzi cha startimes channel 155 star kunfuu huwa wanaonyesha ila mda sikumbukiNiko kwenye 30s mpaka sasa that's the bst thing nimewai ona.ntapata wapi series nzima???ni story iko kwenye vitabu vya wachina
30s au 40sNiko kwenye 30s mpaka sasa that's the bst thing nimewai ona.ntapata wapi series nzima???ni story iko kwenye vitabu vya wachina
ilikuwa ni TV channel hivyo, sio cameramwana we wakishua nini ....
miaka hiyo cctv nahisi hata aliekua mbunge wangu alkua haijui
ilikuwa ni TV channel hivyo, sio camera