maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 420
Mi nakumbuka kula mbakishie baba then nikadondosha kijiti kushika kwenye mstimu wa umeme bwana nikadondosha nakimbia nikajikwaa nilipigwa na watoto mpaka nilikoma.
Nipeleee nipeleeeeeeke
Wapi ?????
Kwa balozi...
Kwaaa baloziiiii kuna nini???
..... ..... .... ....
hamna kaz za kufanya kojoen mkalale
By Erickb52
We ndo ukalale coz hujui hii ni safu ya jokes........
You are not forced to visit this site......!!!!
Nipeleee nipeleeeeeeke
Wapi ?????
Kwa balozi...
Kwaaa baloziiiii kuna nini???
..... ..... .... ....
We ndo ukalale coz hujui hii ni safu ya jokes........
You are not forced to visit this site......!!!!
Sijui ume-perceive nini,lakini my sister alijua kwa urefu wa ule mti kama ningeanguka basi kupona ilikuwa majaliwa!Mkuu hapo vipi???