Mimi nakumbuka zaidi kombolela, mnakimbia kujificha mkiwa jinsia tofauti
na watawatafuta bila kuwaona hadi mchezo unakwisha...
Katika kombolela, niliwahi kupanda mti mrefu balaa,dadaangu aliponiona nikiwa kileleni juu ya mti aliangua kilio akijua kifo changu kimewadia!
Mimi nakumbuka zaidi kombolela, mnakimbia kujificha mkiwa jinsia tofauti
na watawatafuta bila kuwaona hadi mchezo unakwisha...
yaani hapa kwenye kombolela kwenye jinsia mbili tofauti kupatikana ilikuwa kazi.
hamna kaz za kufanya kojoen mkalale
Watoto wangu eeh
Eeeeeeeh
Mimi baba yenu
eeeeeeh
Sina nguvu tena
Eeeeeh
za kuua simba....
Eeeeeh
Simba ni mkali.....
Aliua baba...eee....aliua mama....eeh
............
Nimekumbuka mbali sana
Naskitika nimecheka mbele ya watu wa heshima nipo kwenye meeting ha ha ha aisee kali sana.Nakumbuka komborela 1 nlijificha kwenye kabati la nguo chumba cha wazazi nikasinzia kabatini ikawa zoezi la kunitafuta si la 'anayezinga' bali la familia hadi waliponiotea kabatini.