Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 1,553
- 2,785
Baasi punguza kulialia tutamchapa aliyekukanyaga ati! Basiiii nyamaza mtoto waache wakulima wajadiri mambo ya korosho.Kila mtu aliona wizi tena wa kishamba kabisa wa kura ulivyofanyika, swala la mahakamani labda uchaguzi ungefanyika leo lakini kwa wakati ule mahakama ilikuwa imeminywa na haikuwa huru kabisa.