Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kwa masikitiko makubwa kuwa mnada wa korosho umesitishwa baada ya kampuni za wanunuzi kukosekana! .
Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.
Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?
Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?
Hii inatokea huku Nape Nnauye na Zito Kabwe waliojipambanua kama watetezi wa wakulima wa korosho na wakapiga kelele sana miaka yote mitano ya Serikali ya awamu ya tano wakiwa kimya kabisa kana kwamba hawajui kinachowatokea wakulima wa korosho mwaka huu.
Je, wakulima wa korosho watetewe na nani?
Nguvu ya Nape, Zitto, Membe kulisemea zao la korosho imeenda wapi?