SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,076
Kawaida yao,hata mwaka jana wameuzaUS inafunga balozi yake tz ?
inadaiwa?
au wameamua tu kuuza?
Kawaida yao,hata mwaka jana wameuzaUS inafunga balozi yake tz ?
inadaiwa?
au wameamua tu kuuza?
Huwa wanakawaida ya kuuza vitu vilivyotumika kila mwaka na kununua vipya mbona kawaida sana kufanya mnada vitu vyaoUS inafunga balozi yake tz ?
inadaiwa?
au wameamua tu kuuza?
UchocheziNa sisi magufuri inabidi atoe amri kwa ubarozi wetu wa tanzania kule usa nao wapige mnada vitu vyao vyote kama wenzetu wanavyofanya. Je wazungu watavichangamkia vitu vya mnada vya tanzania kwenye ubaroz wetu huko usa ?
Mbona wanagombeaga sana tu maana vitu vya ubalozi sio vya sport sport uwaga hata ss watz tunaishi hapa w dc uwa wazungu wanatupiga baoNa sisi magufuri inabidi atoe amri kwa ubarozi wetu wa tanzania kule usa nao wapige mnada vitu vyao vyote kama wenzetu wanavyofanya. Je wazungu watavichangamkia vitu vya mnada vya tanzania kwenye ubaroz wetu huko usa ?