Mna uhakika Boni Yai bado ni CHADEMA?

Mna uhakika Boni Yai bado ni CHADEMA?

Kakumamoto

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2015
Posts
1,497
Reaction score
2,218
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
 
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Boniface Jacob akipata mshauri mzuri, anaweza kupata jimbo la Ubungo kama akienda ACT. Sioni wa kumzuia maana wafuasi wake wako palepale. Ni yeye tu atoke vipi? Hata CHAUMMA pouwa tu.

Kwenye siasa usikariri misimamo, bali kuwa flexible. Siasa haina maadui wa kudumu bali masilahi ya kudumu
 
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Unaruhusiwa kumwita chaumwa kwa wivu wako,boni was born kuwapigeni spana.
 
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Sawa tuna aende sisi tupo hadi mwisho hatupoi NRNE
Screenshot_20250807_143039_WhatsApp.jpg
1000128734.jpg
 
Boniface Jacob akipata mshauri mzuri, anaweza kupata jimbo la Ubungo kama akienda ACT. Sioni wa kumzuia maana wafuasi wake wako palepale. Ni yeye tu atoke vipi? Hata CHAUMMA pouwa tu.

Kwenye siasa usikariri misimamo, bali kuwa flexible. Siasa haina maadui wa kudumu bali masilahi ya kudumu
Kwa bahati mbaya atalenga kura za wafuasi wa upinzani hasa cdm. Tatizo ni moja, cdm ni imani sio rahisi wafuasi wake kushiriki kwenye uchaguzi wa maigizo. Hivyo atapoteza kihalali kwa ccm kwani ACT ina wafuasi wachache.
 
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Habari Wakuu, jamaa amekua kimya na alikuwa mtu wa Mbowe kindakindaki kipindi cha uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Amekua kimya sana na hili vuguvugu la CHAUMMA anaweza kua ametema bungo kamfata Mwamba kiazi. Yote yanawezekana maana kumwamini mwanisiasa imekua ngumu sana.
Mwanaume yoyote mwenye kujinenepedha huwa hana akili ndiyo maana mkapa alikuwa ovyo
 
Boniface Jacob akipata mshauri mzuri, anaweza kupata jimbo la Ubungo kama akienda ACT. Sioni wa kumzuia maana wafuasi wake wako palepale. Ni yeye tu atoke vipi? Hata CHAUMMA pouwa tu.

Kwenye siasa usikariri misimamo, bali kuwa flexible. Siasa haina maadui wa kudumu bali masilahi ya kudumu
Labda CCM nje ya Chadema hata kuwe na fair hawezi kutoboa.
 
Back
Top Bottom