YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Kupigana vita ni gharama kubwa hivyo wanachofanya wanavania kwanza sehemu zenye raslimali wakishateka wanaanza wao kuuza hizo raslimali kupata pesa za kununua silaha ili wawe na nguvu zaidi za kupiganaNi kwanini sehemu zenye rasilimali tu ndio hao ‘ waislam’ wanavamia?
Msumbiji wasiwachekee hao