MMU week hii dah!!

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:
 
Hizo ni stress tu za maisha ndugu yangu.................................
Na JF especially MMU ndio mahala pake pa kuondolea misongo na mikengeuko ya maisha hususana ya ndoa...............
 
Tumeamua kula mneli kimbele zaidi

mshatutesa vya kutosha, ukimwelimisha mwanamke umeelimisha jamii
 
Hizo ni stress tu za maisha ndugu yangu.................................
Na JF especially MMU ndio mahala pake pa kuondolea misongo na mikengeuko ya maisha hususana ya ndoa...............

Kwa mahesabu ya kutoka jtatu mpaka leo naona ndoa za baadhi ya wana JF ni za kuuunga unga na gundi ..:A S embarassed:
 
kesho narusha wa kwangu,title:
'Jamani wanaume tuwe wakweli,nani hajawahi kutembea na mke wa mtu?'
 
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:

Wanawake siku hizi wamewehuka mwenyewe nimekimbiwa na mchumba dakika ya mwisho nataka nirushe uzi
 
Wanawake siku hizi wamewehuka mwenyewe nimekimbiwa na mchumba dakika ya mwisho nataka nirushe uzi

tatizo lako na wewe Fidel80 bwana hauko serious ndo maana kakukimbia ..wewe anaomba hela ya lotion unamwambia kuna hela ulimkopesha St .RR unaifatilia ndo umletee wapi na wapi ...
 
Back
Top Bottom