FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
1.Mke wangu ana Mimba ya Wajanja!
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee:
2.Nauza Mke Wangu!
3.Ndoto ya mke wangu imepunguza Upendo na amani!
4.Atorokwa na Mke Siku moja baada ya harusi!
5.Nimechoshwa na huyu mwanamke ..!
Kulikoni mbona kila kukicha ni matatizo wanawake wanawake nini kimetokea ...?:A S-coffee: