MMU Top 3 member in 12 angles!!! Is it fair?

MMU Top 3 member in 12 angles!!! Is it fair?

^^
Nilishatenda... Niliwatunza.. Nikawapaka wanja Wakanipaka pilipili.
Usihadaike na mapenzi ya mitandaoni..we are here to make days meaningful
Ndoa ni wito kama hukuitwa usiende lakinikutoenda kusiwanyime mema yaliyo haki yao ikiwa umepewa na Maisha

cc Mashaxizo na mwekundu
^^
Hii verse nmeikubali sana kuna urali wa vina
Cc Madame B
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa!
Mwekundu wakali wakutongoza MMU namfahamu m1 tu (wewe) hihihihiii!
Moreover! Kuna top 3 wengi tu kwa mfano avatar zenye utata!
Signature kali! Etc but ingeniwia vigumu coz sijafatilia hayo makitu! Kwa mfano kutongozana, watu si wana PM?
Aah... Utaharibu ndoa #kimya kimya!!
 
Niachie bana mchukue Heaven on earth mwenye nyota ya chips-kupendwa na wengi!!

Khaa! Kee wote hao wa JF unipe Da Heaven on Earth! Aaka! Sitaki kufa kihoro mie!
Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Khaa!
Kwani atakueka kichwani??
...
Mi naliaminia jembe langu hilo!
Afu iyo sauti yako kama ya kibonge kibonge vile!!! Uwiiii mwekundu kuja pande hizi
Kuna swali lako!

Mie ni bonge haswa!!!!!!! kijana wako lazima nimvunje mbavu....
Unajua ardhi nyingine zina rutuba na unyevu kwa wingi huitaji jembe kulima.
 
Last edited by a moderator:
Mie ni bonge haswa!!!!!!! kijana wako lazima nimvunje mbavu....
Unajua ardhi nyingine zina rutuba na unyevu kwa wingi huitaji jembe kulima.

Uwiiiii! Kumbe kibonge dah!
Na jamaa anavyopenda manundu ndio utammaliza kabisaaaa!
Aaaa! Ndio mana anakung'ang'ania!
...
Good boy uko wapi?
Huku kuna mambo yetu yale {inyeee!!!!}
uzuri wa tausi mkia!
 
Back
Top Bottom