MMU Top 3 member in 12 angles!!! Is it fair?

MMU Top 3 member in 12 angles!!! Is it fair?

Jamen dada yangu amu!
Nimesema mimi ni mtukutu! Then napenda ku-challenge! Hapo nimejipenda kweli?
Nionee huruma mwenzio mwee!

labda utukutu ila sijawahi kukutana nawewe ukachallenge nikakupa respect kama una ushahidi weka hapa.
Tuanzie hapo kwanza
 
Hahahahahahahaaaa!
(Hiyo ndio salamu)
...
Jamen hamna kupoteza muda, wacha tujikite ktk Top 3 wetu!
...
...
1) MAHUDHURIO:
Heaven on Earth!
Daud omar!
Luck Star!
Hahahahahaaa wanajitahidi sana!
...
2) LIKE: hapa kuna makundi mawili wanaozigonga sana na wale vigwasa/mabahili!
..
Wanaogonga sana:
figganigga Mia!
farkhina!
life is Short!
..
Vigwasa:
Ngalikihinja!
miss strong!
...............!!!!
...
3) MAKAVU BILA CHENGA:
amu!
Babu Asprin!
...............!!!!
...
4) AGAINST FEMINIST:
majaribu 2013!
the choosen!
...............!!!!
...
5) SIJUI NIWAITEJE!:
Simplicity!
heaven on desert!
...............!!!!
...
6) UNPRADICTABLE!:
Watu 8!
kingkong 3!
...............!!!!
Hahahahahaaaa! Huu uchokodhi!
...
7) WATUKUTU!:
Mashaxizo!
mwekundu!
...............!!!!
Ooh! Wewe hukujitaja!
Sjui unajifagilia!
Haya bhana!
...
8) CHALLENGE:
Hapa kuna makundi mawili, wanaopenda ku-challange na wasiopenda kuchalenjiwa!
..
Waku-challange:
Eiyer!
Mashaxizo!
...............!!!!
..
Wasiopenda kuchalenjiwa:
lara 1!
mimi 49!
...............!!!!
Eee hao ukubaliane nao tu! Ukipingana nao na kuwachallange kidogo tu .....!
...
9) WANAOSIMAMIA VIZURI THIRED ZAO:
Eiyer!
gfsonwin!
Fixed Point!
Yaani wanavyosimamia thread zao hadi raha!
...
10) WAWEKAJI MADA MZURI, ZINAZOENDANA NA MMU!:
Himidini!
Mtambuzi!
................!!!!
...
11) HAWA WATU WAKO FAIR SANAAA!:
Hapa kuna makundi mawili W/me na W/ke:
..
W/me ni:
Mentor Ma ticha!
Mapi!
.............!!!!
..
W/ke ni:
sister!
christine ibrahim!
.............!!!!
...
NB: Yoyote anaweza kujalizia mapengo hayo na ujumbe utafika!
Hii sio kwa kuwekeana chuki! Ndio kawaida ya matokeo!
Ukinuna sana vunja keybord!
...
12) WANAJOKES!
Yani hao nacheka sana nikisoma post zao! Na wenyewe ni:
asigwa!
Kongosho!
Washawasha Nalog off!
mi niko wapi aiseee... damn it..
 
Hahahaaaa!
Kweli kabisa jamaa anajua theory nyingi kuhusiana mapenzi! Kiasi kwamba ke wengi wanavutiwa naye! But the issue is that, whether anaweza kutenda yale anayoyaongea? Alafu huyo mwenzie ni vipi ataweza kumcotrol?
Mwenyewe si unaona jamaa hajaoa na bado anawachukia ke! Ngoja akuje! Huenda atafunguka!

^^
Nilishatenda... Niliwatunza.. Nikawapaka wanja Wakanipaka pilipili.
Usihadaike na mapenzi ya mitandaoni..we are here to make days meaningful
Ndoa ni wito kama hukuitwa usiende lakinikutoenda kusiwanyime mema yaliyo haki yao ikiwa umepewa na Maisha

cc Mashaxizo na mwekundu
^^
 
Last edited by a moderator:
labda utukutu ila sijawahi kukutana nawewe ukachallenge nikakupa respect kama una ushahidi weka hapa.
Tuanzie hapo kwanza

Hahahahahaaaa!
amu hao niliosema hawapendi kuchallengiwa ni mfano wa kwanza!
Hata ukimuuliza Himidini anaweza kukuhakikishia!
Also mtambuzi or Charming lady kama wanakumbukumbu mzuri! Na wengineo!
...
Afu umeona kama unamwaga makavu laivu eee?
 
Hahahahahaaaa!
amu hao niliosema hawapendi kuchallengiwa ni mfano wa kwanza!
Hata ukimuuliza Himidini anaweza kukuhakikishia!
Also mtambuzi or Charming lady kama wanakumbukumbu mzuri! Na wengineo!
...
Afu umeona kama unamwaga makavu laivu eee?

Amu Mimi Avatar lake tu!!
 
^^
Nilishatenda... Niliwatunza.. Nikawapaka wanja Wakanipaka pilipili.
Usihadaike na mapenzi ya mitandaoni..we are here to make days meaningful
Ndoa ni wito kama hukuitwa usiende lakinikutoenda kusiwanyime mema yaliyo haki yao ikiwa umepewa na Maisha

cc Mashaxizo na mwekundu
^^

Hahahahahaaaa!
Kama ndoa ni wito si tayari umeshaitwa na M...b! Hihihihihii...!
Mkuu wewe ndio wa kutupa mfano kutokana na knowledge yako kuhusu mahusiano!!!
Au ndio mganga hajigangi?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaaaa!
(Hiyo ndio salamu)
NB: Yoyote anaweza kujalizia mapengo hayo na ujumbe utafika!
Hii sio kwa kuwekeana chuki! Ndio kawaida ya matokeo!
Ukinuna sana vunja keybord!
...
12) WANAJOKES!
Yani hao nacheka sana nikisoma post zao! Na wenyewe ni:
asigwa!
Kongosho!
Washawasha Nalog off!

Dah mkuu nilikua sijui kama na mie ni mtu wa viroja, ila ni nature yangu mkuu teh teh umepatia kabisa aiseee
 
Loooh eti vigwasa.....teh!!!!!

Eee! Spati picha kama huo ukigwasa ni kwenye likes tu au na mambo mengine! Hihihihihiii!
Embu angalia idadi ya post zako, likes received kisha linganisha na likes ulizotoa!
Mwee! Utadhani ukigonga like utafilisika lol!
 
Hahahahahaaaa!
Kama ndoa ni wito si tayari umeshaitwa na M...b! Hihihihihii...!
Mkuu wewe ndio wa kutupa mfano kutokana na knowledge yako kuhusu mahusiano!!!
Au ndio mganga hajigangi?

^^
Ha ha ha ukiitwa pima sauti,,
Najua una hamu sana ya kujua u-ndani wangu bt sio wakati sahihi...punguza utundu
Soma signature yangu hafu uniambie umeelewa nini?
^^
 
Back
Top Bottom