Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Asante Class monitor
Jamen dada yangu amu!
Nimesema mimi ni mtukutu! Then napenda ku-challenge! Hapo nimejipenda kweli?
Nionee huruma mwenzio mwee!
mi niko wapi aiseee... damn it..Hahahahahahahaaaa!
(Hiyo ndio salamu)
...
Jamen hamna kupoteza muda, wacha tujikite ktk Top 3 wetu!
...
...
1) MAHUDHURIO:
Heaven on Earth!
Daud omar!
Luck Star!
Hahahahahaaa wanajitahidi sana!
...
2) LIKE: hapa kuna makundi mawili wanaozigonga sana na wale vigwasa/mabahili!
..
Wanaogonga sana:
figganigga Mia!
farkhina!
life is Short!
..
Vigwasa:
Ngalikihinja!
miss strong!
...............!!!!
...
3) MAKAVU BILA CHENGA:
amu!
Babu Asprin!
...............!!!!
...
4) AGAINST FEMINIST:
majaribu 2013!
the choosen!
...............!!!!
...
5) SIJUI NIWAITEJE!:
Simplicity!
heaven on desert!
...............!!!!
...
6) UNPRADICTABLE!:
Watu 8!
kingkong 3!
...............!!!!
Hahahahahaaaa! Huu uchokodhi!
...
7) WATUKUTU!:
Mashaxizo!
mwekundu!
...............!!!!
Ooh! Wewe hukujitaja!
Sjui unajifagilia!
Haya bhana!
...
8) CHALLENGE:
Hapa kuna makundi mawili, wanaopenda ku-challange na wasiopenda kuchalenjiwa!
..
Waku-challange:
Eiyer!
Mashaxizo!
...............!!!!
..
Wasiopenda kuchalenjiwa:
lara 1!
mimi 49!
...............!!!!
Eee hao ukubaliane nao tu! Ukipingana nao na kuwachallange kidogo tu .....!
...
9) WANAOSIMAMIA VIZURI THIRED ZAO:
Eiyer!
gfsonwin!
Fixed Point!
Yaani wanavyosimamia thread zao hadi raha!
...
10) WAWEKAJI MADA MZURI, ZINAZOENDANA NA MMU!:
Himidini!
Mtambuzi!
................!!!!
...
11) HAWA WATU WAKO FAIR SANAAA!:
Hapa kuna makundi mawili W/me na W/ke:
..
W/me ni:
Mentor Ma ticha!
Mapi!
.............!!!!
..
W/ke ni:
sister!
christine ibrahim!
.............!!!!
...
NB: Yoyote anaweza kujalizia mapengo hayo na ujumbe utafika!
Hii sio kwa kuwekeana chuki! Ndio kawaida ya matokeo!
Ukinuna sana vunja keybord!
...
12) WANAJOKES!
Yani hao nacheka sana nikisoma post zao! Na wenyewe ni:
asigwa!
Kongosho!
Washawasha Nalog off!
Hahahaaaa!
Kweli kabisa jamaa anajua theory nyingi kuhusiana mapenzi! Kiasi kwamba ke wengi wanavutiwa naye! But the issue is that, whether anaweza kutenda yale anayoyaongea? Alafu huyo mwenzie ni vipi ataweza kumcotrol?
Mwenyewe si unaona jamaa hajaoa na bado anawachukia ke! Ngoja akuje! Huenda atafunguka!
Heheh sasa huoni kama unampendelea...yaani juzi tu hapo.
Kuna raia wapo hapa full time yaani wanaweza wasitoe comments ila wao ni likes tu mfano Mamndenyi, Mr Rocky, Kaizer etc na wapo kitambo
labda utukutu ila sijawahi kukutana nawewe ukachallenge nikakupa respect kama una ushahidi weka hapa.
Tuanzie hapo kwanza
Hahahahahaaaa!
amu hao niliosema hawapendi kuchallengiwa ni mfano wa kwanza!
Hata ukimuuliza Himidini anaweza kukuhakikishia!
Also mtambuzi or Charming lady kama wanakumbukumbu mzuri! Na wengineo!
...
Afu umeona kama unamwaga makavu laivu eee?
Hahaha acha mazereu arifu...
Hahahahahahahaaaa!
(Hiyo ndio salamu)
NB: Yoyote anaweza kujalizia mapengo hayo na ujumbe utafika!
Hii sio kwa kuwekeana chuki! Ndio kawaida ya matokeo!
Ukinuna sana vunja keybord!
...
12) WANAJOKES!
Yani hao nacheka sana nikisoma post zao! Na wenyewe ni:
asigwa!
Kongosho!
Washawasha Nalog off!
Nafikiri kwa hil mwekundu anaongoza, teh teh tehNa watongozaji mashuhûri mmu ni akina nani?
Loooh eti vigwasa.....teh!!!!!
Hahahahahaaaa!
Kama ndoa ni wito si tayari umeshaitwa na M...b! Hihihihihii...!
Mkuu wewe ndio wa kutupa mfano kutokana na knowledge yako kuhusu mahusiano!!!
Au ndio mganga hajigangi?