Khaa! Ni macho yangu au!
Sijaona hiyo signature!
But usijali nimekusouma vilivyo kupitia post yako hiyo!
ha haaa, katika maisha yangu halisi napenda sana kusimamia hoja zangu9) WANAOSIMAMIA VIZURI THIRED ZAO:
Eiyer!
gfsonwin!
Fixed Point!
Yaani wanavyosimamia thread zao hadi raha!
Eee! Spati picha kama huo ukigwasa ni kwenye likes tu au na mambo mengine! Hihihihihiii!
Embu angalia idadi ya post zako, likes received kisha linganisha na likes ulizotoa!
Mwee! Utadhani ukigonga like utafilisika lol!
Ni nini hio vigwasa?
dah, pole sana mama! haya ndo matatizo ya nokia za tochi!!Looooh......natumia cm kwhyo siwez gonga like na kupokea other notification xcept pm ndo naona.Kwhyo usikonde wala nn????
Hvyo vingine ukitaka niambie naweza nkaeka pembeni huo ukigwasa wangu
wanasema hataa mungu hayupo fair ndio maana wewe mzima mudhihir mudhihir hana mkono mmoja..
wewe mwenyewe mleta mada umejipendelea
Looooh......natumia cm kwhyo siwez gonga like na kupokea other notification xcept pm ndo naona.Kwhyo usikonde wala nn????
Hvyo vingine ukitaka niambie naweza nkaeka pembeni huo ukigwasa wangu
Daaah sipo hata kwenye kundi la wakarimu na wakaribisha wageni bora MMU?
ha haaa, katika maisha yangu halisi napenda sana kusimamia hoja zangu