MMU team bachelors Vs team wasio kua bachelors.

MMU team bachelors Vs team wasio kua bachelors.

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,493
Reaction score
12,455
Heri ya mwaka mpya wakuu,napendekeza tuwe na teams hapa jamvini kati ya mabachelor na wasio kua mabachelor, hii ni katika kuboresha na kunogesha tu jukwaa,nadhani inaweza hata kusaidia wale wanao omba ushauri hapa jamvini kutambua aina ya ushauri umetoka kwa mtu wa namna gani nadhani nime eleweka hapa..
 
Mkuu ukipewa ushauri inatakiwa uchanganye na wa kwako regardless umetoka kwa bachelor au sio bachelor! Ushauri huwa haungalii status ya ndoa,elimu etc ndio maana paroko anasuluhisha kesi za ndoa wakati yeye mwenyewe hana,maprofessa wanaiingiazia hasara serikali kwa kutoa ushauri mbovu wakati tunaamini ni wasomi hao maprofesa!! Kama uliangalia kipindi cha ruka juu season za nyuma kuna jamaa aliweza kusambaza umeme kijijini kwao,kwenye kipindi cha EATV uswazi uliona wale waliokuwa wanatengeneza umeme kwa kutumia takataka wakati hawana hata certificates!
 
Naona itakuwa ngumu,yaani unashauriwa unaenda kurefer status ya mshauri hah!
Kama unataka ushauri utapokea wa yeyote then uchanganye na za kwako ila kama unataka kujua status za members hiyo sasa ni habari nyingine.
 
#Team_Bachelors nadhani hii naomba iwe hash tag yetu

Na ndio navyowakilisha kama ifuatavyo

Team_Bachelor/Uncle_Barney/BroCoder :A S wink::A S wink::A S wink:
 
BACHELA 4 LIFE.ila mwaka huu nasitisha mgegedo maana masomo ya huku SAUT yananilemea.ushauri tutashirikiana wadau
 
Mkuu ukipewa ushauri inatakiwa uchanganye na wa kwako regardless umetoka kwa bachelor au sio bachelor! Ushauri huwa haungalii status ya ndoa,elimu etc ndio maana paroko anasuluhisha kesi za ndoa wakati yeye mwenyewe hana,maprofessa wanaiingiazia hasara serikali kwa kutoa ushauri mbovu wakati tunaamini ni wasomi hao maprofesa!! Kama uliangalia kipindi cha ruka juu season za nyuma kuna jamaa aliweza kusambaza umeme kijijini kwao,kwenye kipindi cha EATV uswazi uliona wale waliokuwa wanatengeneza umeme kwa kutumia takataka wakati hawana hata certificates!

Hili nalo neno! Happy New year brother!
 
Ni ushauri mzuri ila napata mashaka kuna wale waliooa lakini practically hakuna ndoa humo ndani, kuna wale wa ndoa ndoano, kuna wale masharo waliolewa na majimama yenye hela....... Kimtizamo naona kama kuna zaidi ya tim 2 hapa!!!!!
 
unataka kuwa double usijetamani ubachelor tena...... bado nipo nipo kwanza
miss chagga ukiamua kuoga vua hizo nguo...
Afu hata ukiwepo, lazma siku moja utaingia tu, so the time is now!
Niko singo, vipi upo tayari...?
 
Last edited by a moderator:
Asante mleta siledi,, nakomaa hapa hapa nijue mabachelors wote nijichagulie wa kumtega.. Izi hbr za ukiwa zimenichosha mie!
 
Back
Top Bottom