Luten Jose kumbe ni ndugu yako pia, very sad, msiba huu pia ulinigusa kwa namna moja. Pole sana nicas. Wote ndio njia. Ila heri hata ningemzika mama yangu huyu nione kama kweli amekufa.
Siku zote tuwapendao na walio wazuri kwa macho ya wanadamu ndio huondoka haraka tusipotazamia.
Yes ni my brother. Kwa kweli inaumiza moyo sana hasa pale unapofikiria kuhusu mahangaiko ya maisha na suala la familia. Joseph ameenda. Mkewe na watoto wako hospital.. Tunatarajia kumpumzisha katika nyumba yake ya milele baadaye leo mchana.{Jumatano tarehe 10/04}.
Pole sana. Nami nipo katika wakati mgumu sana kwa wiki hii. Nimeondokewa na wapendwa wawili kuanzia jumapil had leo.
Wa kwanza ni kaka yangu Anaitwa Joseph Rweyemamu {Mtoto wa mama mkubwa}. Amefariki kwa ajali ya gari Kahama.. Mwingine ni rafiki yangu Kipenzi. Anaitwa Elizabeth {Wakyo} Mkongwe.. Kwa kweli imekuwa week ya huzuni sana kwangu.. Vifo vya vijana hao waliokuwa wanaanza kupata maendeleo ktk maisha yao vimefanya niyafikirie maisha katika namna ya tofauti na isiyoelezeka..
R.I.P Luteni Joseph Rweyemamu.
R.I.P Elizabeth 'Wakyo'Mkongwe.
I will always love and miss u wapendwa wangu..
Jamani asanteni
woote angalau najiona wepesi kidogo, huyu ni kama mama yangu mzazi,
imeniuma sana siwezi elezea kushindwa kuwepo na kumfariji rafiki yangu
mpendwa na kipindi hiki kigumu cha msiba wa mama.