Window7 kama huwezi kuongea na mwanangu nameless girl, niambie.. unampotezea muda mfalme!
nitawachabanga woteeee hasa huyo anenikosesha usingizi nadhani ushamjua
Window7 kama huwezi kuongea na mwanangu nameless girl, niambie.. unampotezea muda mfalme!
ni wimbo wa besta unaitwa hivi nini kipo kati yetusongi gani mamii? mbona kama wanitaka kinyume nyume? loh!
Hatishiki mtu hapa nitamwaga ubongo wa mtu hapana chezea my wife plzzzz watu tuna machine tumetulia tumamii hata hilo wanniomba ruhusa? hebu chukua hii kwanza ufanye testing kama inaweza kuua!!
piga risasi hata Daudi1 akileta za kuleta! ila Angelicious... hmm! msamehe mama! karoho kananiumaaaa!!
Kuna transaction ya pesa namuandalia hapa... Hebu nitajie mahari kabisaaa
Kuna transaction ya pesa namuandalia hapa... Hebu nitajie mahari kabisaaa
acha hasira basi mama! eenh! au ntafute wengine wanne ili muwe wake watano wa mfalme?
wacha papara wewe, ongea na mtoto wangu nameless girl, mamii akikuzingua.. chapa risasi!!
ile bunduki yako ya dhahabu hii hapa mama!!
Nikuambie kitu mtoto mzuri?
Kiss before reply.
Hatishiki mtu hapa nitamwaga ubongo wa mtu hapana chezea my wife plzzzz watu tuna machine tumetulia tu
View attachment 144857
Asante sana dadiii... hii kitu nahisi leo itahusika kabisa...
usikosee mwanangu.. chambua kila neno huyu sharo analosema...! kuwa mwangalifu sana..
otherwise chukua hii ya high range, akikimbia tu, nasa shamba ya miguu!
leo Window7 hutoki hapa bure..
Mwambie baba ako asitufuatilie vichakani basii..
Naona unataka nifanyie mazoezi kwako toka nilivyotoka vietnam muda umepita kidogo,sipendi masihara kabisa
View attachment 144861