Exceptional
Member
- Jan 19, 2014
- 91
- 25
heee we nan? na umetoka wapi ucku huu had unaingilia ndoa yangu?
mango g nakuita njoo
heee we nan? na umetoka wapi ucku huu had unaingilia ndoa yangu?
Kweli mkuu ngoja niende piem nikadumishe ndoa.
J.lee mtoto wakitanga anajua ku-act sana yule. Hana kichanga chochote.
Kijana naona unamchezea simba sharubu.
kukutoaje tena my X?sema chochote na moyo wangu utapona mtalaka wangu.Ha!ha!ha!ha!.. Hebu mtalaka nitoe kwenye ile #Teambazaz
asante sana Exceptional kwa kulitambua hlo jaman naomba usuluhshe bado nampenda mme wangu mwambie aje tulee mtoto wetuusisahau J.Lee ana kichanga
Exceptional mambo?jaman utakuja kuntembelea kwangu lini?J.Lee kumbe ni manguo! mmmh kweli hii ndo mtaka cha uvungun
anakuita wa kitanga. hana mapenzi ya dhati hiyo ntamlelea hicho kichanga usiwaze toto J.Leeasante sana Exceptional kwa kulitambua hlo jaman naomba usuluhshe bado nampenda mme wangu mwambie aje tulee mtoto wetu
Exceptional mambo?jaman utakuja kuntembelea kwangu lini?
Exceptional mambo?jaman utakuja kuntembelea kwangu lini?
asante sana jamani.anakuita wa kitanga. hana mapenzi ya dhati hiyo ntamlelea hicho kichanga usiwaze toto J.Lee
sikuonag jaman siku moja moja uwe unakuja kuna fursa nying sana kuexchange ideas,vyoda n mengneyoMarahaba mtoto mzuri. napitaga huwa hunion?
jamani mekumis pia my dia.Nimekumis dia.
ha!ha!haa chezea kubebwa mgongoni wewe utarudi tu hapa!!na huko uliko utaitwa diha mpaka uitaje besdei ya bibi ako no mahabatein....Hivi mtalaka si unajua bado nina hisa hapo kwako? Sasa endelea kumchekea huyu Exceptional nitampoteza mbele yako.