mango g
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 517
- 215
hee viji2 vingne bna! yan kuitwa diha na mm ndo ushajikuta sta? kid shangazi yako! af diha hao unaowaita wa2 wng mm nimewaumba? untafe babu/bibi eeee
Last edited by a moderator:
Pumzika kwanza kichuna wangu nitakupa full mkanda.
diha had nw cjampata muandishi mzuri wa barua na mashahiri ya taarab kama ww humu mmu!
We mtoto taratibu naona unahamia anga zangu miye siyo hao wenzio nitaku_ufoo saro nani diha wako? Excel my hubby tell her hakuwepo muda mrefu naona hajui kinachoendelea hapa
mwache switie!
si unajua tena ukipigiwa honi ghafla upande wa kushoto, kulia, nyuma na mbele lazima uchizi!!
ndo hivyo... mpe siti akae.. asije akalala nje! msaidie tu kama mdogo wako!
Kumsaidia nitamsaidia kama mdogo wangu lkn angalizo lazima nitoe asije akakuzoea
We mtoto taratibu naona unahamia anga zangu miye siyo hao wenzio nitaku_ufoo saro nani diha wako? Excel my hubby tell her hakuwepo muda mrefu naona hajui kinachoendelea hapa
shost sory...! yan kumuita huyo kinyago chako cha mpapure diha na ww umeshtuka? hii couple yenu ya aina gan jaman? in short cna shda nae hta bure!
jidanganye tu nakwambia nna gari zangu mbili babu eh!na nyumba kigamboni mjini hapa kazi ufanye wewe nyumba tujenge sisi ha!haaa na hv naenda chkua mzigo chinaaa.Atapanda daladala mpk makonda wampe zamu ya kukusanya nauli.
mi tena aanzie wapiii!!!
kila wakati niko kwenye uno langu mama namwaya mwaya!! hebu endelea kujimwaga bana! mwache huyu mwanampotevu apumzike!
kumbe hapa ndo unapopumzikia?
nakwambiaje we baki na bushoke lako usintishe na ukiendelea kunisumbua utaitaja besdei ya bibi ako nakwambiayan we kijuso cku nikikukamataaa....! utataja jina lang la ubatizo, pepo we
na akuache babu eh!Kumsaidia nitamsaidia kama mdogo wangu lkn angalizo lazima nitoe asije akakuzoea