Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,213
- Thread starter
- #61
Mzigo- inawakalisha mwanamke mwenye makalio makubwa mfano, Mzigo umewekwa ndan ya kipedo, juma amekula mzigo leo leo usku!
tupe na maana ya kipedo....
Mzigo- inawakalisha mwanamke mwenye makalio makubwa mfano, Mzigo umewekwa ndan ya kipedo, juma amekula mzigo leo leo usku!
Hii ni maarufu sana kule pande za kina koku banza bukoba ina maana kutumia kiungo cha mwanaume kukichezesha juu ya maungo ya kike.
Mzigo- inawakalisha mwanamke mwenye makalio makubwa mfano, Mzigo umewekwa ndan ya kipedo, juma amekula mzigo leo leo usku!
mbona kuna mdau keshatoa maana yake hapo juu?PM maana yake nn? maana watu wanasema nifuate pm plz majib
Na mimi nipe mafunzoUmechemsha siyo process hiyo. Ni PM nikupe mafunzo
kwan we ndo ulilianzisha?alafu jamani jamani mie hilo neno nina haki miliki yake so kuweni waangalifu utashangaa nadai pesa.....alafu nataka niweke kama private plate namba yangu
kwan we ndo ulilianzisha?
tutaanza kulipia kodi basikwani nani mwingine
nini maana ya kibamia?
Kibamia- tupu ya mwanaume ambayo ni ndogo kama bamia..
endelea......
kwan we ndo ulilianzisha?