Jamani nasikia tu kuna pm,ila mimi cjui na gundu au sina mvuto au sifai au sina vigezo au mshamba,yani uwezi Amini cjai pata hata PM moja hata ya bahati mbaya sio vzr jombaah!!silazimishi ila mawazo yangu naomba ya heshimiwe!ni hayo 2
Huyu jamaa anatoka zanzibar anataka mum-pm mbona maswali mengiiiJinsia yako tafadhali.