Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Imebidi niulize maana ulishanifanya na mimi nianze kumpenda.Rekebisha mambo bwana...
Hafai hata kidogo.................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imebidi niulize maana ulishanifanya na mimi nianze kumpenda.Rekebisha mambo bwana...
Daahhh
sis ndo umenimaliza
kabisa...
Na ndio maana lazima mkubaliane na muwe tayari kwa lolote lile litakalotokea, Kuna mdada mmoja aliolewa baada ya kukaa kwa muda wa miaka mitatu kwenye bila mtoto ndugu wa mwanaume wakawa wanamwambia amuache yule mwanamke kwasababu hazai mwanamke akimwambia mshikaji waende hospitali kupima waone tatizo liko wapi mwanaume akawa anagoma anasema yeye hana tatizo labda yeye(mke wake) mwisho wa siku mwanaume alimuacha mwanamke ingawa mwanamke ilimuumiza sana Mungu sio athumani huyu mwanamke akapata mwanaume mwingine and the very same year akapata mimba sasa ndugu wa huyu mwanaume aliyemuacha mke wake wakabaki kupigwa butwaa.Kama kinachowaingiza ni watoto inabidi watu wawe wanapima kwanza!
Dena mmh!! acha kukatisha tamaa wenzio wanaotaka kuingia ndoani..lol......kama kweli inakero kama unavyosema (japo sikubaliani na wewe 100%)
Mbona watu wanazifanyia sherehe kuubwa na furaha sana , kweli nyuma ya hizo sherehe kubwa kunakuwa na mategemeo ya kero kweli?
Hafai hata kidogo.................
Natamani kuachika hapa nilipo sio siri sijui kwanini niliolewa kha NAJUTAAAAAAAAA
Kama kinachowaingiza ni watoto inabidi watu wawe wanapima kwanza!
lizzy ,sasa nimekuelewa huu upendo wa kweli anatupa Muumba wetu tu,maana kama mtazamo ni huu maumivu hayatakwisha.HERI ALIYEMFANYA BWANA KUWA TUMAINI LAKE!
MARS, VENUS, PLUTO.......LolzKhaaaa sis
unanifanya niwaze mara sita sita
Lakini mbona huyo sio wa kuleee
Kama tulivyoongea.. au hamna tofauti?
DA pole bwana kama kuna yanayokukera/kuondolea furaha ndani ya ndoa!Natamani ningeweza kukuweka sawa!
Ule mpango wetu si uko pale pale???Yaani kwa leo mmmhhh nimeichukia hii ndoa mimi kha....................
Kweli kabisa mpendwa...maana ndo kama hivyo we unakubali kuolewa kwa mapenzi na ukidhani na wewe unapendwa kumbe mwenzako anataka watoto tu...au pesa zako...au sifa mtaani!
Natamani kuachika hapa nilipo sio siri sijui kwanini niliolewa kha NAJUTAAAAAAAAA
Yaani kwa leo mmmhhh nimeichukia hii ndoa mimi kha....................
we dogo habu twende chemba kidogo kwa gmailUle mpango wetu si uko pale pale???
The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:Vibaya hivyo mamito, mungu ndio aliowaunganisha bwana jifunze kuipenda tena kama mwanzo
I'm about to transfer to that destinationEarth
But North Pole..
Hahhaha lol