afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
- Thread starter
- #121
Ni kweli, maana kuna siku nilimuuliza babu yangu ni kitu gani kilimfanya amuoe bibi yangu? alinijibu kama ifuatavyo.
"Usimuone hivyo huyo bibi yako akiwa kijana alikuwa analima sana, alikuwa ana uwezo wa kushinda shambani mchana kutwa sasa kwasababu mimi nilikuwa na Shamba kubwa niliona atanifaa"
Daaahh hii
Kweli ndo funga kazi
Sante dear..