Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 #1 Inawezekana kweli? Attachments 1408541201730.jpg 55.3 KB · Views: 562
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Aug 20, 2014 #4 inawezekana kama ukila lile jani la bob marley.
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #6 utafiti said: Ukiskia uvivu ndio huu Click to expand... Hahaha itakuwa anajiko la mkaa sa had i awashe !!!..
utafiti said: Ukiskia uvivu ndio huu Click to expand... Hahaha itakuwa anajiko la mkaa sa had i awashe !!!..
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #8 Khantwe said: Ndio cha muhimu si joto tu? Click to expand... Mmmhh em jaribu tuone
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Aug 20, 2014 #10 Si unajua taa inawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi sasa kwa kweli hapo kuna kitakachoiva kweli?
Si unajua taa inawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi sasa kwa kweli hapo kuna kitakachoiva kweli?
utafiti JF-Expert Member Jul 18, 2013 12,783 7,657 Aug 20, 2014 #11 Munkari said: Hahaha itakuwa anajiko la mkaa sa had i awashe !!!.. Click to expand... Huu ubachela huu hatari
Munkari said: Hahaha itakuwa anajiko la mkaa sa had i awashe !!!.. Click to expand... Huu ubachela huu hatari
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #12 HARUFU said: Si unajua taa inawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi sasa kwa kweli hapo kuna kitakachoiva kweli? Click to expand... Haha yani ni sheedah
HARUFU said: Si unajua taa inawaka na kuzima kila baada ya muda mfupi sasa kwa kweli hapo kuna kitakachoiva kweli? Click to expand... Haha yani ni sheedah
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,499 86,037 Aug 20, 2014 #13 Labda kama sio Taa-nes-Co wa Tanganyika, au kama hio LUKU ni ya mchina!!!!
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #14 utafiti said: Huu ubachela huu hatari Click to expand... Utawaua!!! Oeniii!!!
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #15 Elli said: Labda kama sio Taa-nes-Co wa Tanganyika, au kama hio LUKU ni ya mchina!!!! Click to expand... Labda ana umeme utokanao na mbolea ya binadamu
Elli said: Labda kama sio Taa-nes-Co wa Tanganyika, au kama hio LUKU ni ya mchina!!!! Click to expand... Labda ana umeme utokanao na mbolea ya binadamu
utafiti JF-Expert Member Jul 18, 2013 12,783 7,657 Aug 20, 2014 #16 Munkari said: Utawaua!!! Oeniii!!! Click to expand... Kweli eeeeh Munkari unaakili sana najua wewe kama sio doctor basi mbunge Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Munkari said: Utawaua!!! Oeniii!!! Click to expand... Kweli eeeeh Munkari unaakili sana najua wewe kama sio doctor basi mbunge
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 Aug 20, 2014 #17 Na mimi mbona huwa napikiaga makande!
SHIEKA JF-Expert Member Dec 20, 2011 8,244 4,258 Aug 20, 2014 #18 Munkari said: Inawezekana kweli? Click to expand... Wataalamu wa appliances za umeme watuambie kama hii kitu ni feasable.
Munkari said: Inawezekana kweli? Click to expand... Wataalamu wa appliances za umeme watuambie kama hii kitu ni feasable.
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Aug 20, 2014 Thread starter #19 utafiti said: Kweli eeeeh Munkari unaakili sana najua wewe kama sio doctor basi mbunge Click to expand... Haha miye waziri wa mambo ya nyumbani. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
utafiti said: Kweli eeeeh Munkari unaakili sana najua wewe kama sio doctor basi mbunge Click to expand... Haha miye waziri wa mambo ya nyumbani.
utafiti JF-Expert Member Jul 18, 2013 12,783 7,657 Aug 20, 2014 #20 Munkari said: Haha miye waziri wa mambo ya nyumbani. Click to expand... Amka nenda kasoma japo ata London
Munkari said: Haha miye waziri wa mambo ya nyumbani. Click to expand... Amka nenda kasoma japo ata London