Hii inanifanya nizidi kuiheshimu kazi yangu japo nafanya kazi isyoendana na profession yangu, nina CPA lkn sio muhasibu siiachi hata kidogo bora mkono wenda kinywani bila shida.<br />
Komaa kijana utapata ila ndio hivyo sio lazima upate kazi ya ulivyosomea pekee,yeyote pouwa hapa bongo bana Daktari anakua bank Teller.