Mmmh! Hakika Mungu Anaumba

Mmmh! Hakika Mungu Anaumba

Amezidi weusi??? Kwani hiyo rangi nyeusi ya ngozi yake amejipaka mwenyewe mpaka wewe useme "amezidi weusi"?
sio kwamba tunakosoa uumbaji, hatujuani tu kwasababu kila mtu yupo nyuma ya screen, mimi ni mweusii kama mjaluo, nioe mwanamke mweusi tena si afadhali nichanganye kidogo ndugu? ndio ilikuwa lengo la hiyo point.
 
sio kwamba tunakosoa uumbaji, hatujuani tu kwasababu kila mtu yupo nyuma ya screen, mimi ni mweusii kama mjaluo, nioe mwanamke mweusi tena si afadhali nichanganye kidogo ndugu? ndio ilikuwa lengo la hiyo point.
Nimekuelewa mkuu, ndio maana niliuliza ili nipate ufafanuzi.
 
sio kwamba tunakosoa uumbaji, hatujuani tu kwasababu kila mtu yupo nyuma ya screen, mimi ni mweusii kama mjaluo, nioe mwanamke mweusi tena si afadhali nichanganye kidogo ndugu? ndio ilikuwa lengo la hiyo point.
noted
 
sio kwamba tunakosoa uumbaji, hatujuani tu kwasababu kila mtu yupo nyuma ya screen, mimi ni mweusii kama mjaluo, nioe mwanamke mweusi tena si afadhali nichanganye kidogo ndugu? ndio ilikuwa lengo la hiyo point.
mkuu haileti maana kujidanganya eti wee LAMI halafu uoe wa MIVURUGO ILI UPATE MTOTO MWEUPE UTALEA WA JIRAN BURE MKUU
 
ukipata kuoa wa mweusi wa hivyo MTOTO WENU HAJIKUWA NA MICHUNUSI KAMA MBEGU ZA BAMIA
 
Back
Top Bottom