getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Mmiliki wa kituo cha mafuta lake oil kibaha natumia jukwaa hili kukutaarifu upuuzi na uwizi unaofanyika kwenye kituo chako.
Nimekuwa mteja mzuri wa kituo hiki kwa muda mrefu lakini nilikuwa sijagundua haya mpaka nilipoamua kufuatilia haya..
1. Pampu zako mbovu hasa mashine zilizo upande wa barabarani..
2. Watumishi /wako ama ni wezi au sio waaminifu nimekuwa naufuatilia huu mchezo kwa muda sasa.
Ukiweka mafuta kwenye gari kiwango ukipatacho ama kinachosoma kwenye mshale wa mafuta (gauge) ni tofauti sana..
Awali nilidhani gari yangu ina matatizo lakini nimejiridhisha kuwa gari iko sawa na nimeweka mafuta vituo viwili tofauti na chenu kwa kiwango kilekile cha mafuta ninunuacho kwenu.
Nimepata uhakika kuwa kituo chenu kuna matatizo.
Wito kwa serikali / wakala wa vipimo watembelee kituo hiki kwa uchunguzi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa mteja mzuri wa kituo hiki kwa muda mrefu lakini nilikuwa sijagundua haya mpaka nilipoamua kufuatilia haya..
1. Pampu zako mbovu hasa mashine zilizo upande wa barabarani..
2. Watumishi /wako ama ni wezi au sio waaminifu nimekuwa naufuatilia huu mchezo kwa muda sasa.
Ukiweka mafuta kwenye gari kiwango ukipatacho ama kinachosoma kwenye mshale wa mafuta (gauge) ni tofauti sana..
Awali nilidhani gari yangu ina matatizo lakini nimejiridhisha kuwa gari iko sawa na nimeweka mafuta vituo viwili tofauti na chenu kwa kiwango kilekile cha mafuta ninunuacho kwenu.
Nimepata uhakika kuwa kituo chenu kuna matatizo.
Wito kwa serikali / wakala wa vipimo watembelee kituo hiki kwa uchunguzi..
Sent using Jamii Forums mobile app