Mmh Kaumbwa %

Hii ndio ile mizigo ya yule Sheikh Kipozeo ambayo huwa anaizingumzia....hatari sana!!
 
Haloo dalali,ebana lile shamba nimeamua kuuza,ntapata mteja wa fasta?
 
Ingelikuwa tunaona na utamu wa mashine ukoje ndipo ningechangia vizuri....
Umenena mkuu maana hata huyo mwenye hati milki ya huyo bidada utakuta anatoka na wengine tena, haya mambo yanahitaji busara sana maana wanaume jinsi tulivyo unakuta mrembo unamsotea ila ukimpata tu ukamchojoa jicho linamzoea na kumwona wa kawaida (au sijui ndio theory of marginal utility ina apply na kwenye hili "the more you consume, the less utility you get"
 
Kama ulikuwepo ndani ya kichwa changu mkuu....umelenga mahali ambapo ndipo penye kiini cha michepuko...
 
siku zote trafic huwa anasoma namba za nyuma.........aiseeeeeeee hebu weka na nyuma tuone usikute anatuibia kiingilio chetu hapa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…