kwanza naomba nikupinge kwa gerufi kubwa sana, unene sio uvivu, manake wapo watu wanene na wanachapa kazi kuliko kawaida, smartness haitegemei mtu mnene ama mwembamba kuna watu wembaba hawajui hata jins ya kuoga achilia mbali kuvaa, ingawa mtu mnene akiwa mchafu ataonekana zaid kuliko mtu mwembaba. sio mara zote unene ni ugonjwa manake je yule mwembamba kwasababu ya HIV, ama kisukari ama ugonjwa wa moyo utasema ni afya njema?? sio kweli kwamba unene unaharakisha kifo manake watu wangap[i wembamba wanakufa mapema??
istoshe kama mume alipenda kishtobe basi hakumpenda yeye manake akizeeka atamkimbia kwasababu kazeeka.
jambo la msingi ni hili kwamba kila mtu ajiweke mkakamavu katika umbo ambalo Mungu kamjalia. wapo watu ambao ni wembamba kwasababu ya stage tu ila wakifika umri fulan lazima watanenepa....kimsingi wanatakiwa tu kukazana mazoez na si kukimbiza unene ila kuuweka sawa yaani awe fit wazungu wanasema.
ukioa mke kwasababu ya uzuri wa nje ni majanga matupu....na achen kujustfy mambo yasokuwapo