Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,092
MFUNGULIE BIASHARA ISIYOTOKA SANA KAMA KUUZA BATIKI KISHA MSHAURI/MSHAWISHI AKAKOPE "FINCA" WITHIN 6 MONTH UNENE KWISHA :bange: alternative remedy master
Sasa kama hutaki mwanamke mnene, si ukaoe mwembamba? Au wanawake wembamba wameisha? Usiumize kichwa while solution unayo
Unatuletea mambo ya mke wako hapa. Please JF, watu kama hawa ambao hawana sera don't give them space. Leta hoja za mshiko kama Escrow, Simba na Yanga, mengi na Muhungo, Dar na Foleni za Magari, etc etc. Haya ya wewe mko kunenepa nenda kwa Nutritionist akashauri.
Na huyo mwembamba nae akinenepa atakuwa anafanya kazi ya kuoa kila mara eti?Sasa kama hutaki mwanamke mnene, si ukaoe mwembamba? Au wanawake wembamba wameisha? Usiumize kichwa while solution unayo
basi fanyeni exchange
mkuu una maana mke amegeuka Tembo ama?[/Qhahahahahhahaha mna masihala wakuu nimecheka sana you make my day
Habari wana bodi.
Natumai hamjambo?
Naomba munisaidie mi nimeowa toka mwaka 2007 mke wangu alikua mwembamba ( kibasmati ) yaaani sio siri nampenda hadi kesho tatizo ni kua baada ya kujifungua mtoto wa kwanza mwaka 2009 alinenepa kiasi sikichukia sana ila nilimuambia sipendi awe mnene mambo yamezidi mara kumi alipojifungua mtoto wa 2 kawa kibonge mbuno huo tumbo limeengezeka balaa yaani hadi sijui nimfanyeje?
Mwanzoni nilikua nampangia malaji na naibana bajeti ya kula wakati tuko na mtoto 1 tena mchanga ila siku hizi siwezi maana nikibana bajeti nitaumiza watoto.
Nimemueleza kua ajipangie utaratibu na mpangilio wa vyakula lakini wapi hanielewi anaishia kuniambia kua hata alipokua mdogo alikua mnene sana alipungua alipokua mwari.
Mi kwa kweli sipendi mwanamke mnene nifanyeje?
Yeah, mbona jibu liko wazi sana maana kama huwezi kumkontrol au kujikontrooo mwenyewe, unakuja na kutujazia server hapa unategemea nini??? OaNa huyo mwembamba nae akinenepa atakuwa anafanya kazi ya kuoa kila mara eti?
Garbage In Garbage Out......... huwezi kuja kutuambia eti mkeo kanenepa humpendi tena, si udhalilishaji huu? au unakubaliana na hoja yake??Jaman is this a good solution?
Ye hajaleta kama kumdhalilisha, kaleta kuomba ushauri ili mkewe apungue.Garbage In Garbage Out......... huwezi kuja kutuambia eti mkeo kanenepa humpendi tena, si udhalilishaji huu? au unakubaliana na hoja yake??
Habari wana bodi.
Natumai hamjambo?
Naomba munisaidie mi nimeowa toka mwaka 2007 mke wangu alikua mwembamba ( kibasmati ) yaaani sio siri nampenda hadi kesho tatizo ni kua baada ya kujifungua mtoto wa kwanza mwaka 2009 alinenepa kiasi sikichukia sana ila nilimuambia sipendi awe mnene mambo yamezidi mara kumi alipojifungua mtoto wa 2 kawa kibonge mbuno huo tumbo limeengezeka balaa yaani hadi sijui nimfanyeje?
Mwanzoni nilikua nampangia malaji na naibana bajeti ya kula wakati tuko na mtoto 1 tena mchanga ila siku hizi siwezi maana nikibana bajeti nitaumiza watoto.
Nimemueleza kua ajipangie utaratibu na mpangilio wa vyakula lakini wapi hanielewi anaishia kuniambia kua hata alipokua mdogo alikua mnene sana alipungua alipokua mwari.
Mi kwa kweli sipendi mwanamke mnene nifanyeje?
unajua kuna jambo ambalo hatulielewi nalo ni je unene wa mtu huyu unasababishwa na nini?? kuna watu genetically ni wanene hata kama ni mwembamba leo lkn atakuja kunenepa tu sasa inamaana akinenepa ndo upendo umeisha??Mwalimu salam!
Ni kweli kwamba mwenzi wako akibadilika sana, hasa kwenda upande usiopenda inakua kero!!!
Ni vizuri huyu bwana anajaribu kueleza hisia zake...hapendi wanene! Ni wajibu wa mke kujitahidi asiwe kero. Hii hata kwa wanaume!!! Mwanaume hawezi kuwa na mnene wa kupitiliza kama kepteni mustachi na bado akamvutia mke! (labda kwa wachache wanaopenda vitambi vikubwa)...