Mmegundua nini kwa hii pic

Nmegundua kwamba waligonganisha vikojoleo hatimaye wakavimba matumbo sasa hivi wamejifungua
 
Mtoto hubeba tabia ya mama yake anapokua mja mzito.
 
Kuna mama mmoja siyo mjamzito alafu chini no mjanzito lakini anamtoto mchanga
 
Hao wamama possibly ni lesbians na wamezaa watoto wa kiume.. Sababu ni rangi ya magauni yao walivoipangilia inafanana ma bendera ya LBGT
 
Ukubwa wa mwili sio ukubwa wa mtoto utakayemzaa ndio maana watoto wanaumbo linalolingana licha ya wazazi kutofautiana kimaumbile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…