Nitaeleza kutoka hivi karibuni kurudi nyuma!
1. Siku hizi wanaripoti kweli kweli habari zihusuzo 'kuijenga' serikali. Natumia mfano wa leo kwanza;
‐ wameripoti 'kikamilifu' tukio la machinga aliyefariki wakati wa kuokoa mali zake. Mwandishi alitembea kweli kweli kufuatilia suala hilo huku akikomaa kusema amegongwa wakati anakimbizwa ingawa wahusika pale na kaka wa marehemu hawakukomaa sana kusema hivyo. Mwandishi alitembelea kila sehemu kwa juhudi kubwa huku waliohojiwa wote wakionekana kuwa na mawazo negative kwa gov.
‐ wameripoti 'machinga mwanza wakosa maeneo ya kufanyia biashara'. Lakini tulichoona ni kuwa machinga wapo katika maeneo yao yale yale isipokuwa kuna mpango wa kuwapanga sehemu 50 zilizoandaliwa na leo walikuwa na kikao na dc kuelezana hilo. Watu wachache waliohojiwa na itv ni wale tu walioonekana kukosoa mpango huo tu!
2. Wakati wa jpm (r.i.p) walikuwa wanaripoti habari zinazosifia serikali tu.
3. Wakati wa kikwete walikuwa wanaripoti kwelikweli habari zinazohusu 'kuijenga' serikali, sitosahau nilishuhudia siku moja kipindi cha malumbano ya hoja kama sikosei kikiongezewa muda kabisa. Siku hiyo kulikuwa na nape vs mnyika. Pia maandamano na migomo mbalimbali vilipewa coverage ya nguvu. Mtangazaji mmoja, Masako, aliyekuwa anaendesha kipindi cha kipima joto, alitamka maneno haya mbele ya waalikwa wawili (mmoja afande na mwingine raia) aliowaalika katika kipindi chake, 'ukweli ni kuwa........., ingawa afande hapa anajitahidi kutetea lakini huo ndo ukweli!'. Kauli hii ilishangaza kidogo sababu kama mtu wa media, tena aliyewaalika watu kupimana hoja hakupaswa kusimamia upande. Aliteleza hivyo sababu ndo ulikuwa msimamo wa kituo ulioonekana kipindi hiko.
4, wakati wa Mkapa (r.i.p) walikuwa wanaripoti zaidi habari zinazosifia serikali tu.
Hicho ndicho nilichogundua kuhusu itv. Chini ya mkapa, sikuwa mkubwa
1. Siku hizi wanaripoti kweli kweli habari zihusuzo 'kuijenga' serikali. Natumia mfano wa leo kwanza;
‐ wameripoti 'kikamilifu' tukio la machinga aliyefariki wakati wa kuokoa mali zake. Mwandishi alitembea kweli kweli kufuatilia suala hilo huku akikomaa kusema amegongwa wakati anakimbizwa ingawa wahusika pale na kaka wa marehemu hawakukomaa sana kusema hivyo. Mwandishi alitembelea kila sehemu kwa juhudi kubwa huku waliohojiwa wote wakionekana kuwa na mawazo negative kwa gov.
‐ wameripoti 'machinga mwanza wakosa maeneo ya kufanyia biashara'. Lakini tulichoona ni kuwa machinga wapo katika maeneo yao yale yale isipokuwa kuna mpango wa kuwapanga sehemu 50 zilizoandaliwa na leo walikuwa na kikao na dc kuelezana hilo. Watu wachache waliohojiwa na itv ni wale tu walioonekana kukosoa mpango huo tu!
2. Wakati wa jpm (r.i.p) walikuwa wanaripoti habari zinazosifia serikali tu.
3. Wakati wa kikwete walikuwa wanaripoti kwelikweli habari zinazohusu 'kuijenga' serikali, sitosahau nilishuhudia siku moja kipindi cha malumbano ya hoja kama sikosei kikiongezewa muda kabisa. Siku hiyo kulikuwa na nape vs mnyika. Pia maandamano na migomo mbalimbali vilipewa coverage ya nguvu. Mtangazaji mmoja, Masako, aliyekuwa anaendesha kipindi cha kipima joto, alitamka maneno haya mbele ya waalikwa wawili (mmoja afande na mwingine raia) aliowaalika katika kipindi chake, 'ukweli ni kuwa........., ingawa afande hapa anajitahidi kutetea lakini huo ndo ukweli!'. Kauli hii ilishangaza kidogo sababu kama mtu wa media, tena aliyewaalika watu kupimana hoja hakupaswa kusimamia upande. Aliteleza hivyo sababu ndo ulikuwa msimamo wa kituo ulioonekana kipindi hiko.
4, wakati wa Mkapa (r.i.p) walikuwa wanaripoti zaidi habari zinazosifia serikali tu.
Hicho ndicho nilichogundua kuhusu itv. Chini ya mkapa, sikuwa mkubwa