- Thread starter
- #41
Huyo dada kama kasoma hakuelimika hata kidogo. Biology ya kawaida ya kidato cha nne, angeelewa kuwa mtoto ni tunda kati yake na mumewe. Kama watoto ni weusi basi hata yeye kachangia. Asije akadhani mkorogo unarithishwa! Ni sawa na mwanaume kumlaumu mwanamke kuzaa watoto wote wa kike wakati kisayansi mwenye kuamua jinsi ya watoto ni mwanaume! Mwanamke ana mbegu za aina moja YY. Mwanaume ni XY. Wakati viini vinaungana, mwanaume akitoa Y basi anakuwa mtoto wa kike na akitoa X anakuwa wa kiume.
La pili na kubwa zaidi ni hiyo kasumba ya mtu mweusi kuchukia weusi. Inaonyesha jinsi dada huyo alivyo na fikra potufu na hajithamini hata kidogo. Kuoa wa aina hiyo ni majanga!
this is powerful mkuu