Mme wangu kanizalisha mitoto myeusi

Mme wangu kanizalisha mitoto myeusi

Huyo dada kama kasoma hakuelimika hata kidogo. Biology ya kawaida ya kidato cha nne, angeelewa kuwa mtoto ni tunda kati yake na mumewe. Kama watoto ni weusi basi hata yeye kachangia. Asije akadhani mkorogo unarithishwa! Ni sawa na mwanaume kumlaumu mwanamke kuzaa watoto wote wa kike wakati kisayansi mwenye kuamua jinsi ya watoto ni mwanaume! Mwanamke ana mbegu za aina moja YY. Mwanaume ni XY. Wakati viini vinaungana, mwanaume akitoa Y basi anakuwa mtoto wa kike na akitoa X anakuwa wa kiume.

La pili na kubwa zaidi ni hiyo kasumba ya mtu mweusi kuchukia weusi. Inaonyesha jinsi dada huyo alivyo na fikra potufu na hajithamini hata kidogo. Kuoa wa aina hiyo ni majanga!

this is powerful mkuu
 
kwani huyu mama hakumuona mume wake tangia mapema kabla ya kuoana? yawezekana kuna sababu zaidi ya hiyo ya kishetani, upande wa pili anasema mume wake kastaafu, sasa kama huyu mume kastaafu ina maana ni mzee, na kama ni mzee hata huyu dada pia ni mzee hivyo yawezekana yupo kwenye menopause. Chukulia kama wamepishana na miaka kumi mfano, huyu mzee kwa sheria za TZ kustaafu ni miaka 60, kama vivyo ndivyo basi huyu mama atakuwa na miaka 50. (total menopause - unless for few cases). Lakini kama huyu mume alioa kabinti kadogo akiwa mtu mzima hapa ni wazi kuwa huyu binti hakumpenda bali alipenda pesa yake, na sasa hamtaki kwa sababu kile alichokipenda yaani pesa hakipo, ndiyo maana anaforce kuchepuka kifidhuli hivyo.
 
Habari zenu wana JF?

Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini.

Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii!

Angalia watoto wako walivyo wazuri jamani, mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol, mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote.

Sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. Mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?
Umemshauri jambo la maana sana
 
umetunga. hakuna mama wakuwasema vibaya watoto wake. labda hakushika mimba miezi tisa na uchungu hakusikia. acha maneno ya mitaani.
 
Be proactive, your "marindas" are in danger of being deformed!
Habari zenu wana JF?

Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini.

Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii!

Angalia watoto wako walivyo wazuri jamani, mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol, mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote.

Sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. Mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?
 
Huyo dada kama kasoma hakuelimika hata kidogo. Biology ya kawaida ya kidato cha nne, angeelewa kuwa mtoto ni tunda kati yake na mumewe. Kama watoto ni weusi basi hata yeye kachangia. Asije akadhani mkorogo unarithishwa! Ni sawa na mwanaume kumlaumu mwanamke kuzaa watoto wote wa kike wakati kisayansi mwenye kuamua jinsi ya watoto ni mwanaume! Mwanamke ana mbegu za aina moja YY. Mwanaume ni XY. Wakati viini vinaungana, mwanaume akitoa Y basi anakuwa mtoto wa kike na akitoa X anakuwa wa kiume.

La pili na kubwa zaidi ni hiyo kasumba ya mtu mweusi kuchukia weusi. Inaonyesha jinsi dada huyo alivyo na fikra potufu na hajithamini hata kidogo. Kuoa wa aina hiyo ni majanga!
mkulu kwa mwananke ni xx na si yy kama ulivo weka hapo juu.
 
mwallu kumbe Una mtoto...
nilitamani kuwana kadate na wewe, lols
Hii unanikumbusha picha la Arnold Schwarzenegger la kuitwa COMANDO(Komando John)

Ameshamaliza shughuli nzito yote In charge wake Schwarzenegger ndo anaingia eneo la tukio na kutaka kutoa msaada wakati mambo yote yameshaisha(Komando John ameshamaliza mchezo wote) na kudai kama ikitokea/ikitokea tena muda wowote atatoa msaada wa hali na mali - Schwarzenegger alichojibu ni hivi "No chance"

Kisha majina yanaanza kupanda picha limeisha
 
mkuu Tuko ni kweli ila si unajua watoto wa kichaga naturally ni warembo. ila amesha kuwa aged kiasi maana hakosi 45years

nimekupendea hapo tu!..watoto wa kichaga naturally ni warembo!!..asantee!
wapi miss chagga jaman
 
Back
Top Bottom