- Thread starter
- #21
Nasikiaga hata yule dada mwenye blog ya michambo huwa anamficha mtoto wake eti anasema mbaya
watu wanahangaika hawapati watoto, wao wanaona watoto wabaya, hongera zao.
unajua inashangaza mzazi kusema vile watoto tena watoto wenyewe ni wazima na sio walemavu! hata kama wangekuwa walemavu huwezi sema maana hujui kusudi la Mungu juu yao