Habari zenu wana JF?
Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini.
Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii!
Angalia watoto wako walivyo wazuri jamani, mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol, mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote.
Sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. Mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?
Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini.
Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii!
Angalia watoto wako walivyo wazuri jamani, mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol, mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote.
Sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. Mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?