Mme wangu kanizalisha mitoto myeusi

Mme wangu kanizalisha mitoto myeusi

JICHO TAI

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2013
Posts
1,106
Reaction score
670
Habari zenu wana JF?

Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini.

Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii!

Angalia watoto wako walivyo wazuri jamani, mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol, mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote.

Sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. Mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?
 
Inawezekana uzuri wake ni wa dukani... Kapiga michubuo kumbe kiuhalisia ni mpingo.
Unakumbuka ile kesi mwaka jana mdada wa kichina alilazimika kumlipa mumewe mamilioni baada ya kumdanganya na uzuri kumbe ilikuwa plastic surgey? Watoto wakawa wanazaliwa wasiofanana nae?

Tafuta picha za utotoni za huyo shangingi uone...
 
aje nimpe mtoto mweupe, ani PM. tena anabeba mimba siku hiyohiyo!
 
Zombie mweuzi kama lami, ila watoto wamefuata rangi ya balozi wetu. Balozi wetu ni shombe shombe:smile-big:
 
mbio nimeshatoka mkuu maana ni mwaka wa pili toka amesema hivyo. na cha ajabu mpango ulikuwa kwenda kwenye nyumba yao wamejenga mbezi ina kila kitu ila awajahamia
 
Habari zenu wana JF?
Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini. Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii! angalia watoto wako walivyo wazuri jamani! mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol! mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote. sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?


hII KALI sijawahi kusikia
 
wajanja hawaangaliagi hela tu, wanaangalia na mtoto atakuwaje! unakumbuka maneno ya penny khs kwanini aliamua kutoa mimba ya domo?
 
Habari zenu wana JF?
Hiyo ni kauli ambayo nimewahi kuambiwa na dada/mama wa makamo 40's years. Dada huyu tulitokea juana wakati anasoma Postgraduate Diploma chuo kimoja hapa mjini. Pia shirika letu ni mojawapo ya wateja wakubwa wa bank yao (dada huyu anafanya kazi bank mojawapo kubwa town hapa) nami binafsi ni mteja wa bank hiyo. Basi nilikuwa nikienda ananihudumia kama corporate customer, siku moja akanitolea uvivu nikiwa nimekaa ofisini kwake akanambia tafadhali JICHO TAI nakuomba mtoto mmoja tu niangalie nilivyo mzuri jamani mme wangu amenizalisha mitoto myeusii! angalia watoto wako walivyo wazuri jamani! mme wake ni mtu wa kanda za juu kusini na sasa kastaafu. Huyu dada ni mrembo sana kwani kachukua sura ya kichaga miguu ya wasukuma lol! mimi nikamshauri kuwa kwanza haiwezekani na pia watoto ni baraka na zawadi toka kwa Mungu wawe weusi, weupe, wafupi au vyovyote. sasa kila akiniona anasisitiza ule mpango vipi. mimi sitaki kuomba ushauri nifanyeje hapa kwani nilishajua cha kufanya, ila nawaza ni kwa nini mama awaseme watoto wake hivI? akina mama wa JF ulishawahi kuwaza hivi au kusikia mama akiwasema watoto wake kwa namna hii?

Huyo dada kama kasoma hakuelimika hata kidogo. Biology ya kawaida ya kidato cha nne, angeelewa kuwa mtoto ni tunda kati yake na mumewe. Kama watoto ni weusi basi hata yeye kachangia. Asije akadhani mkorogo unarithishwa! Ni sawa na mwanaume kumlaumu mwanamke kuzaa watoto wote wa kike wakati kisayansi mwenye kuamua jinsi ya watoto ni mwanaume! Mwanamke ana mbegu za aina moja YY. Mwanaume ni XY. Wakati viini vinaungana, mwanaume akitoa Y basi anakuwa mtoto wa kike na akitoa X anakuwa wa kiume.

La pili na kubwa zaidi ni hiyo kasumba ya mtu mweusi kuchukia weusi. Inaonyesha jinsi dada huyo alivyo na fikra potufu na hajithamini hata kidogo. Kuoa wa aina hiyo ni majanga!
 
Inawezekana uzuri wake ni wa dukani... Kapiga michubuo kumbe kiuhalisia ni mpingo.
Unakumbuka ile kesi mwaka jana mdada wa kichina alilazimika kumlipa mumewe mamilioni baada ya kumdanganya na uzuri kumbe ilikuwa plastic surgey? Watoto wakawa wanazaliwa wasiofanana nae?

Tafuta picha za utotoni za huyo shangingi uone...
mkuu Tuko ni kweli ila si unajua watoto wa kichaga naturally ni warembo. ila amesha kuwa aged kiasi maana hakosi 45years
 
Nasikiaga hata yule dada mwenye blog ya michambo huwa anamficha mtoto wake eti anasema mbaya
watu wanahangaika hawapati watoto, wao wanaona watoto wabaya, hongera zao.

Naunga nawe
watu wanahaha na visa tele vipo hapa jf na mitaani watu wanafuta sana watoto hawapati
Ukisema mweusi yupo atakaempenda
na hata mfupi ni hivyo hivyo
 
mwanaume wa ukweli huwezi kuambiwa maneno kama haya na mama wa makamo na wewe umeoa....kuna vitabia mmeonyeshana ndo mana

pia kuwa na maamuzi kama mwanaume .....sitaki nataka ya kukaa kimya ina maana gani??/

kama hupendi ungemwambia pale pale mkuu
 
yule binti aliyejizolea tuzo ya Oscar kwa filamu ile ya what what sijui slave hivi ana rangi gani?
 
Hayo mazoea yalianza siku hiyo hiyo tu au? Halafu unamkataliaje mama wa watu ikiwa umeshaanza kutamani miguu yake? Wewe mwanaume wewe...utahasiwa ohooooo!

mkuu sijamtamani kama ni hivyo ningemalizia kazi shida ni kwamba pale corporate customer wanaingia wakubwa wote wanahudumiwa wamekaa kwenye sofa sasa huwa najiuliza mawaziri, wakurugenzi wote wanaonana naye kweli na uzuri wake hawajamtokea? maana hao wana mkwanja kuliko mimi? nikatoka nduki.
 
Mleta mada umevurungwa na mambo ya katiba...Hakuna mama yoyote duniani anaweza kusema vibaya watoto wake!weka ushahidi hapa.
 
Back
Top Bottom