Mme/mke kuwa in the same or different professional; kipi bora?

Mme/mke kuwa in the same or different professional; kipi bora?

Isumbwile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
801
Reaction score
362
Habari za weekend!

I always thought it was a good thing kuwa na mke ambaye mpo in the same professional hadi jana wakati nipo round table na some of my frnds ambao wapo married for sumtym walipo nipinga kwa nguvu zote and I kept wondering what was the problem. They were a bit drunk so they could not say much of the reasons but they kept crashing the matter that a husband and a wife mkiwa both mpo in the same professional is a bad idea.

Mimi cuz still bado nipo single n mayb sumday I will be in the same boat I always thought kuwa na partner ambae mpo in the same professional ndo mpango mzima yaani kama mimi ni accountant na mke akiwa accountant basi ni mzuka cuz nikitalk abt debiting/crediting au reconciliations, yeye anakupata vizuri but jana I realized from hawa married frnds of mine that they disagree.

Nikasema ngoja niwaulize ma great thinkers and nipate mawazo yao on this matter Kwamba which is which; kuwa na mme/mke ambaye mpo naye in the same professional mfano wote ni madaktari au mme na mke in different professional eg doctor and engineer etc

Don’t get me wrong hapa, i mean the two of u mmekuwa married for sumtyms and wats ur views on having a patner of the same professional or different professional na sio wakati ni lovers cuz at that time tunajua mara nyingi love inakuwa so blind that everything else vinakuwa of much less importance.

Your views great thinkers………
 
Habari za weekend!

I always thought it was a good thing kuwa na mke ambaye mpo in the same professional hadi jana wakati nipo round table na some of my frnds ambao wapo married for sumtym walipo nipinga kwa nguvu zote and I kept wondering what was the problem. They were a bit drunk so they could not say much of the reasons but they kept crashing the matter that a husband and a wife mkiwa both mpo in the same professional is a bad idea.

Mimi cuz still bado nipo single n mayb sumday I will be in the same boat I always thought kuwa na partner ambae mpo in the same professional ndo mpango mzima yaani kama mimi ni accountant na mke akiwa accountant basi ni mzuka cuz nikitalk abt debiting/crediting au reconciliations, yeye anakupata vizuri but jana I realized from hawa married frnds of mine that they disagree.

Nikasema ngoja niwaulize ma great thinkers and nipate mawazo yao on this matter Kwamba which is which; kuwa na mme/mke ambaye mpo naye in the same professional mfano wote ni madaktari au mme na mke in different professional eg doctor and engineer etc

Don't get me wrong hapa, i mean the two of u mmekuwa married for sumtyms and wats ur views on having a patner of the same professional or different professional na sio wakati ni lovers cuz at that time tunajua mara nyingi love inakuwa so blind that everything else vinakuwa of much less importance.

Your views great thinkers………

Professional ni adjective.

Profession ni noun.

Unajua tofauti ya adjective na noun?
 
.Ni hatari kama unatafuta mke au mme kwa kuangalia kama ana taaluma kama ya kwako. Ikiwa imetokea hivyo yenyewe haina ubaya.
 
There's no 'rocket science' in how to make love let alone how to date a person!
Kikubwa ni 'masikilizano' tu............haya 'ma-professions ' hayana mantiki sana.............
 
kwani kunasheria inayohusu haya mambo??

mmh! sijui kivile ila nafikiri ni better kuwa na taaluma tofauti kwani itawafanya hata wanenu kuwa na experience mtambuka.
 
Kinachomata ni mapenzi na kuheshimiana hata kama wote ni madaktari na mna upendo wa dhati na manaheshimiana bhaaaaasi, mimi ni IT na mke wangu ni IT maisha yanakwenda kama kawaida.Nasema tena mapenzi yakiwepo na heshima ikiwepo hakuna cha zaidi
 
kwani kunasheria inayohusu haya mambo??

mmh! sijui kivile ila nafikiri ni better kuwa na taaluma tofauti kwani itawafanya hata wanenu kuwa na experience mtambuka.

i believe hakuna sheria on the matter!
 
i believe hakuna sheria on the matter!

sasa mbona unapata shida??

inategeea wewe aliuye wa ubavu wako ni mtu wa fani ipi. suppose useme simtaki wa same profession halafu ukakuta aliye ms right ni wa fani hiyo hiyo utafanyeje?? ama je kama atakuwa mnafanya ae ofc moja itakuwaje?

mie huwa naona changamoto zaid kuwa na mwenza mnayefanya nae kazi ofs moja mnake hapa mnakuwa mnajuana na hamuachiani muda wa kuwa kila mtu na nafsi yake, ila mko fani moja mmoja ofc a mwingine ofc b kwangu mie ni magoli tu.
 
Kikubwa ni kusikilizana hayo mengine yote ni mbwembwe. Mimi naomba mke wangu asiwe doctor, mwalimu au vitu vingine ila awe mama ntilie a.k.a. mama lishe. Nasikia nyumba ya mama ntilie huwa watoto hawalali njaa halafu wanakuwa na afya kweli.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Haaaaaaaaa
Mwanamke ni lazima kudanganywa bwana!! Mfano, ukioa doctor of medicine wakati mm nina madigrii ya biashara ie BA-AF na MBA.... Hapo ni kumpiga mauongo tu, maisha yananoga!!!!
 
Haaaaaaaaa
Mwanamke ni lazima kudanganywa bwana!! Mfano, ukioa doctor of medicine wakati mm nina madigrii ya biashara ie BA-AF na MBA.... Hapo ni kumpiga mauongo tu, maisha yananoga!!!!
 
unampenda mwanamke/mwanaume au unaipenda profession yake?watch out you wll end up in disappointment.
 
Haaaaaaaaa
Mwanamke ni lazima kudanganywa bwana!! Mfano, ukioa doctor of medicine wakati mm nina madigrii ya biashara ie BA-AF na MBA.... Hapo ni kumpiga mauongo tu, maisha yananoga!!!!

dats wat the guys said at the round table..wit different profession,kumpiga mauongo is so possible uki-compare with same profession..!
 
Inategemea, cha msingi kuheshimiana tuu for the both side wether in da same professional or not issue ni Upendo na kuheshimiana tuu hayo megine mbwembwe tuuu!
 
Mm sijaolewa ila napenda sana tuwe na fani tofauti kwsbb hiyo itapunguza kuzoeana sana, najisikia raha sana kuwa na mpnz mhasibu halafu mm niko ktk mambo ya jamii.
 
Ninadhani si vyema kwa ego ya wanaume wengi kwa mke kuwa katika fani moja nae mume ila mke akawa ni hodari zaidi kwenye fani hiyo na anaingiza kipato zaidi
 
Mimi nasema haya yote ni ziada tu.
"
Kila jambo lina taratibu zake and so mapenzi,mahusiano au ndoa.Unapoanza kuangalia vitu au mambo ya nje ni makosa na unajipoteza kabisa.
"
Uimara wa mahusiano hauletwi na na mambo ya nje bali ndani yenu.Unapoanza kujitafuta nje huwezi kupata matoke chanya.
"
Fanyeni yote,kilichokikuu ni upendo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom