Mme hajiwezi kwenye tendo la Ndoa

Mme hajiwezi kwenye tendo la Ndoa

Dawa ipo ya mitishamba,aandae Tshs 600,000'atarudi kwenye hali yake ya kawaida.Mimi mwenyewe jamaa yangu alikuwa na tatizo hilo,sasa yuko fit baada ya kutumia hii dawa ya mitishamba.If interested piga 0754 856277;nipo Urafiki flats.

amludie mungu wake naye atamubadilisha maana mungu ashwi jambo lolote chini ya jua
 
Issue iko wazi kabisa ... Tatizo liko ndani ya vichwa na fikra zao...!!

Waulize kwa nini wakitoka nje ya ndoa zao it works??

Kwa nini huyo jamaa huko kusini anacheza kama kawaida? If he can dare to be honesty!!

Tatizo lao wamelibeba vichwani mwao nani haoni???!!-

-
 
inauma jamani acheni tu kama unataka naniluuu halafu jamaa hawezi mmh .
 
Dawa ipo ya mitishamba,aandae Tshs 600,000'atarudi kwenye hali yake ya kawaida.Mimi mwenyewe jamaa yangu alikuwa na tatizo hilo,sasa yuko fit baada ya kutumia hii dawa ya mitishamba.If interested piga 0754 856277;nipo Urafiki flats.

Atoe laki 6 apone halafu aje aambukizwe ngoma,we dada ikubali hali ya mumeo km ilivyo,yote ni mipango ya Allah..!
 
Back
Top Bottom