Mme hajiwezi kwenye tendo la Ndoa

Mme hajiwezi kwenye tendo la Ndoa

ebu ajaribu kupiga VIAGRA za kutosha aone kama UKUNI haujasimama wenyewe.
 
Hawa awali walikuwa hawana maelewano mazuri kwenye ndoa yao.ilikuwa kila mara ugomvi. mme wake alikuwa mlevi sana.

wamejaribu kwenda hsptl majibu Dr kasema kuna mfupa kwenye uti wa mgongo umesimama na watakiwa kulala na hiyo inatokana na kukaa kwenye kiti mda mrefu.hivyo yapaswa afanyiwe mazoezi.na wameshajaribu kufanya lakini hakuna nafuu yoyote ile.


hapo kwenye bold ndio sipaelewi nafikiri watalaam wa medicine watatueleza zaidi.
 
Kama ndoa ni ya kidini mmeshatafuta suluhisho la kidini? Aombewe sana huyo mtu labda huko kusini kuna mahali alipita (muulize vizuri). Siyo mnawahi tu "aende tanga wiki mbili..." ......"enyi wenye imani haba...."
 
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha hali hii. 1. Kuugua kwa magonjwa mbalimbali kama ugonjwa wa moyo, ugonjwa wa kisukari, matatizo ya neuro (neurological problems), 2. upungufu wa hormones pamoja na matumizi mabaya ya madawa. 3. Halikadhalika inaweza kusababishwa na matatizo ya kisaikolojia (psychological problems) ambapo uume hushindwa kusimama kwa sababu ya mawazo au fikra fulani mbaya kuhusu partiner wake.

Matatizo haya yanaweza kutibiwa kwa kutibu chanzo, kwa mfano kuondoa upungufu wa madini ya potassium. halikadhalika anaweza kutibiwa kwa kupewa madawa ya aina ya PDE5 inhibator (sildenafil au viagra). Au anaweza kutibiwa kwa njia ya penile prosthesis, penis pump au njia kama hizo. Mu-encourage asikate tamaa ajaribu kumwona daktari bingwa wa masuala hayo.
 
Habari zenu wana JF.
Nina Rafiki yangu wa kike anaomba ushauri pls naomba tujaribu kumsaidia.
Huyu dada kaolewa na wamebarikiwa mtoto mmoja wa umri wa miaka 5.

yeye na mme wake Wote waajiriwa serikalini.Hawa awali walikuwa hawana maelewano mazuri kwenye ndoa yao.ilikuwa kila mara ugomvi. mme wake alikuwa mlevi sana.mwisho wa siku yule mme akahamishiwa ki kazi mikoa ya kusini.kule yupo sasa ni mwaka na miezi kadhaa.
lakini huwa anakuja kutembelea familia yake hapa dar.

Tatizo lilianza taratibu ikifika ule mda wa tendo la ndoa mme hana nguvu hata ya kurudi tena.ikaaendaa kwa mda mrefu sana mwisho sasa imekuwa haisimamimi kabisa.yaani hata akija wanaishi kama kaka na dada.

wamejaribu kwenda hsptl majibu Dr kasema kuna mfupa kwenye uti wa mgongo umesimama na watakiwa kulala na hiyo inatokana na kukaa kwenye kiti mda mrefu.hivyo yapaswa afanyiwe mazoezi.na wameshajaribu kufanya lakini hakuna nafuu yoyote ile.

Sasa yapata mwaka huyo shosti yangu analalamika hajawahi kufanya tendo la ndoa na ukiangalia ndo ana umri wa 32 sasa bado anahitaji kupata watoto.anaomba ushauri wenu tafadhali kama kuna namna ya yeye kupata dawa ya mmewe kuweza kufanya kazi tena.mme wake ana umri wa 38.

pia kuvunja ndoa hawezi maana ni ndoa ya Kiroman na pia hofu ya kwamba watu watasema kamkimbia mwenzie pindi ana matatizo.

Dawa ipo ya mitishamba,aandae Tshs 600,000'atarudi kwenye hali yake ya kawaida.Mimi mwenyewe jamaa yangu alikuwa na tatizo hilo,sasa yuko fit baada ya kutumia hii dawa ya mitishamba.If interested piga 0754 856277;nipo Urafiki flats.
 
naomba ni PM nitamkutanisha na mtu ninayemfahamu ana clinic ya dawa za miti shamba anaweza kukusaidia vyema saana
 
Unajua sasa hivi haya matatizo yamekua mengi sana....mi nahisi sie ambao tuko fit baadae tutakua lulu....aiseee
 

hahahaaa dady umenipa rraha
na wale wala miraa ujumbe huu uwafikie!!
 
wanaume wenzangu tuache kunywa mi valuuu....
 
mna-miss pointi ya msingi...".mwisho wa siku yule mme akahamishiwa ki kazi mikoa ya kusini"
 
Habari zenu wana JF.
Nina Rafiki yangu wa kike anaomba ushauri pls naomba tujaribu kumsaidia.
Huyu dada kaolewa na wamebarikiwa mtoto mmoja wa umri wa miaka 5.

yeye na mme wake Wote waajiriwa serikalini.Hawa awali walikuwa hawana
maelewano mazuri kwenye ndoa yao.ilikuwa kila mara ugomvi. mme wake
alikuwa mlevi sana.mwisho wa siku yule mme akahamishiwa ki kazi mikoa ya
kusini.kule yupo sasa ni mwaka na miezi kadhaa.
lakini huwa anakuja kutembelea familia yake hapa dar.

Tatizo lilianza taratibu ikifika ule mda wa tendo la ndoa mme hana nguvu
hata ya kurudi tena.ikaaendaa kwa mda mrefu sana mwisho sasa imekuwa
haisimamimi kabisa.yaani hata akija wanaishi kama kaka na dada.

wamejaribu kwenda hsptl majibu Dr kasema kuna mfupa kwenye uti wa mgongo
umesimama na watakiwa kulala na hiyo inatokana na kukaa kwenye kiti mda
mrefu.hivyo yapaswa afanyiwe mazoezi.na wameshajaribu kufanya lakini
hakuna nafuu yoyote ile.

Sasa yapata mwaka huyo shosti yangu analalamika hajawahi kufanya tendo
la ndoa na ukiangalia ndo ana umri wa 32 sasa bado anahitaji kupata
watoto.anaomba ushauri wenu tafadhali kama kuna namna ya yeye kupata
dawa ya mmewe kuweza kufanya kazi tena.mme wake ana umri wa 38.

dawa ziko nyingi tena xana, piga namba hii 0767 35 34 89
 
Aisee huyo dada acwe na shaka ongea na wa2 uvae via2
 
Kwakwel kunamganga m1 hv niliona bango lake wakat napta maeneo ya magomen pale anatibu mambo hayo ushaul wang ila anywe kdum cha mchuz wa pweza lita 20 kwa cku atapona.
 
Kwakwel kunamganga m1 hv niliona bango lake wakat napta maeneo ya magomen pale anatibu mambo hayo ushaul wang ila anywe kdum cha mchuz wa pweza lita 20 kwa cku atapona...au atafutiwe dem wa kihaya au makonde nguv ztalud tena.
 
Pole kwa mgonjwa na mke kwa uvumilivu, fuaten ushauri wa wanajamvi huku mkimwomba Mungu mtafanikiwa..!!
 
Back
Top Bottom