TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Kuna mpita njia mmoja alikuwa anamtafuta jamaa ktk mtaa flani,akamwona Mluguru amekaa nje ya nyumba yake,akaamua kumuuliza,mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:
Mpita njia: umemwona Mangi?
Mluguru: ndiyo nimemwona, alikuwa kwa Zungu anachinja mbuzi,alipomaliza akaenda mtoni...halafu akarudi.
Mpita njia: kwahiyo yupo nyumbani sio?
Mluguru: ndiyooo (akajibu kwa ukali kidogo).
Mpita njia: umemwona Mangi?
Mluguru: ndiyo nimemwona, alikuwa kwa Zungu anachinja mbuzi,alipomaliza akaenda mtoni...halafu akarudi.
Mpita njia: kwahiyo yupo nyumbani sio?
Mluguru: ndiyooo (akajibu kwa ukali kidogo).