Hiyo si ajabu, kwa waliofika pemba kuna hotel maarufu ina itwa Pemba Highland,ina masharti kama hayo, hurusiwi kuingia hotelini mwanamke na mwanamme kama hamna vyeti vya ndoa, mwenyewe si mlokole ni mwislam haswa wa sala tano.
Nadhani ni katiaka kutaka kurejesha maadili mema ktk jamii..