Mlo wa mchana supu ya ndizi

Mlo wa mchana supu ya ndizi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,787
Hell

Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa
1754826933637.jpeg

Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi
1754827004154.jpeg

Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni
1754827071996.jpeg

Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam
1754827119871.jpeg

Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane

Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom