Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,787
Hell
Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa
Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi
Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni
Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam
Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane
Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka
Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa
Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi
Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni
Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam
Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane
Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka