Mlitudharau na kutucheka leo mnatuona mashujaa!!

Mlitudharau na kutucheka leo mnatuona mashujaa!!

kwa miaka nenda rudi, mtwara mmekuwa mkinufaika na rasilimali za alimasi ya mwadui, (kumbuka alimasi huchimbwa mwadui, na tan-cut almasi iko iringa), mmenufaika na dhahabu toka buzwagi, mmenufaika na fedha za utalii toka serengeti, na kila mkoa ulipopata gawio la taifa, mkoa haukukataa kuzipokea kwa kuwa zinatoka nje ya mkoa. Leo mtwara kuna gesi, basi mnaona gesi ni yenu, wakati mkinufaika na vya wenzenu, mliona vitamu. Poleni sana, gesi itatoka. Iwe kwa kheri au kwa shari. Na ninyi onjeni mrahaba wa 0.03%. Kidumu chama.

hopeless......na mtajua sifa ya mapinduzi kuanzia kusini!
 
Mawazo ya uhasi hayo, hizo barabara, madaraja, hospitals, mashule, na miundombinu mingine imejengwa kwa pesa gani, za gasi? Hiyo miundo mbinu imejengwa kwa pesa za raslimali zilizopo mikoa mingine.
Varangati likianza akuna mtanzania atakayefaidi hiyo gasi, mkiwemo nyinyi.


Potelea pote....ndiyo gharama ya mapinduzi hiyo!
 
Mawazo ya uhasi hayo, hizo barabara, madaraja, hospitals, mashule, na miundombinu mingine imejengwa kwa pesa gani, za gasi? Hiyo miundo mbinu imejengwa kwa pesa za raslimali zilizopo mikoa mingine.
Varangati likianza akuna mtanzania atakayefaidi hiyo gasi, mkiwemo nyinyi.

mtu kama wewe ndiyo mnaoipa serikali kichwa na kiburi, tayari umeambiwa serikali imekosea tangu mkataba hadi kandarasi, badala ya kuipa seriakli changamoto wewe unatetea ujinga
 
post yako ni strong sana,lakini kwa sasa kila kitu kwa mujibu wa sharia zetu ni uchochezi,hata kama ni kweli.tatizo hapa viongozi na wana ntwara kila mtu kila mtu anaongea lugha yake,lugha ya viongozi matumizi ya jeshi ndo njia ya kuongea na wana mtwara,lugha nzuri kwa wanamtwara ni ile ambayo wangekuwa na fursa za kiuchumi,miundominu, bora n.k ambapo hata hiyo gesi isingeleta utata.Mwandishi generali Ulimwengu alishapata kusema kusema juu ya mafuta"Mafuta ni neema kwa nchi ambazo viongozi wao wanaakili,lakini mafuta ni laana kwa nchi ambazo viongozi wake..."
 
Mawazo ya uhasi hayo, hizo barabara, madaraja, hospitals, mashule, na miundombinu mingine imejengwa kwa pesa gani, za gasi? Hiyo miundo mbinu imejengwa kwa pesa za raslimali zilizopo mikoa mingine.
Varangati likianza akuna mtanzania atakayefaidi hiyo gasi, mkiwemo nyinyi.

.....mkuu kaa chini utafakari maneno yako upya.
 
Mkuu hawastahili kabisa kuitwa viongozi, ni mafisadi waliojivisha ngozi ya uongozi. Kiongozi wa kweli hawawezi kuwaua wananchi wake wanaodai maslahi ya maeneo yao wanayoishi na ya nchi yao kwa ujumla.

hivi hakuna viongozi wanaosoma haya mabandiko!na kama wapo mbona wanakuwa wagumu kuelewa?
 
Serikali sikivu mtuchague tena 2015

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu hawastahili kabisa kuitwa viongozi, ni mafisadi waliojivisha ngozi ya uongozi. Kiongozi wa kweli hawawezi kuwaua wananchi wake wanaodai maslahi ya maeneo yao wanayoishi na ya nchi yao kwa ujumla.
umeongea ukweli mtupu mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mtu kama wewe ndiyo mnaoipa serikali kichwa na kiburi, tayari umeambiwa serikali imekosea tangu mkataba hadi kandarasi, badala ya kuipa seriakli changamoto wewe unatetea ujinga

......halafu usikute huko kwao ni maskini wa kutupwa.
 
Acha uchochezi dogo, nani kakwambia kusini kusini kuna barabara ya tope?

...,..we si umeijua kusini mwaka jana,uliza tukuambie,mi nishalala bandarini dar siku 3 kwenye mv mapinduzi naskilizia safar ya mtwara,ilikua ikifika december barabara ya kusini majanga tupu.
 
Mlituona maskini,hatuja soma,tumelala,hatuna uelewa,tulipokuja dar kutafuta unafuu wa maisha mkatuita 'wamanchinga' eti leo mnatuona mashujaa n unafiki.

tulisafir kwa wik 2 kuja dar kwenye barabara ya tope kwa miaka 50 na hamkutujari wala kututetea,tulikaa gizani kwa mda mrefu kwa kukosa umeme wa uhakika,eti leo mnatuambia 'tutaishi kama ulaya' kisa gas na mnataka kuipeleka dar! ni kuto kututhamini.

mlipo amishiwa mtwara kikazi mligoma kuja mkadiriki hata kuacha kazi kisa mtwara hakustahili kuishi watu,iweje leo eti 'wana mtwara tuko pamoja mpaka kieleweke' ni unafiki.

mliita mtwara ngome yenu ya kupatia kura,leo tunadai haki yetu mnatuona wahaini,chura,mambumbu, mnatupiga mabomu na kutuua kisa mshakula 10% ni dhuluma na unyanyasaji.

wakati nyie mlikua mnakunywa soda kwa sh 150,sis mtwara sh 600,huko kwenu kilo ya nyama ilikua sh 1000 huku mt sh 3000,hapo bado unga,mchele n.k eti leo tumepewa neema mnadai mtwara wabinafsi gas ya watz wote,basi njoni mtwara tuifaidi sote ikiwa huku huku.

GAS MTWARA.COM


Mkuu usiwe na hasira kihivyo. Matatizo yote haya mliyopitia zilikuwa propaganda za CCM toka enzi na enzi. Si unaona hata Mkapa alipokuwa waziri kipindi kile, kila akienda kwao Masasi alikuwa hamfikishi mkewe nyumbani kwao, anamuacha mjini. Wengi wetu tumefurahi kuona nanyi mna muamko, hivyo basi kunako 2015 msijisahau...itupeni CCM chagueni maendeleo.
 
think critically............unakula huku unapiliza eeeh.....jamaaa wanafikiri.....tafakari tena
 
Back
Top Bottom