Mlitudharau na kutucheka leo mnatuona mashujaa!!

Mlitudharau na kutucheka leo mnatuona mashujaa!!

Daah mkuu umenitoa chozi,nikikumbuka adha tuliyoipata mtwara inauma sana,nakumbuka nilipoenda fm 5 pale bagamoyo sec 2004 kuna dogo somebody shayo aliniuliza we mtu wa wapi nkamwambia mtwara daah aliniuliza tena "mtwara ndo wapi?" aisee niliumia sana.

nimetoka kutumikia ban leo ila bdo naendeleza harakati no matter what...enhee nimekumbuka mama salma ni wa kwetu wewe mlaze mzee kavu miez mi wili tu mwenyewe atachange mawazo yke kuhusu gas.
 
The cost of bleeding blood is on the hands of the rulers!woe to them
 
Kwa miaka nenda rudi, Mtwara mmekuwa mkinufaika na rasilimali za Alimasi ya Mwadui, (Kumbuka Alimasi huchimbwa Mwadui, na TAN-CUT ALMASI iko Iringa), Mmenufaika na dhahabu toka Buzwagi, Mmenufaika na fedha za utalii toka Serengeti, na kila Mkoa ulipopata gawio la Taifa, Mkoa haukukataa kuzipokea kwa kuwa zinatoka nje ya Mkoa. Leo Mtwara kuna gesi, basi mnaona gesi ni yenu, wakati mkinufaika na vya wenzenu, mliona vitamu. Poleni sana, GESI ITATOKA. iwe kwa kheri au kwa shari. Na ninyi onjeni mrahaba wa 0.03%. KIDUMU CHAMA.

......nimekosa Cha kukujibu kwa jins ulivyo nikera mshenzi wewe,huna unachokijua mpuuzi wewe.
 
Mlituona maskini,hatuja
soma,tumelala,hatuna
uelewa,tulipokuja dar kutafuta
unafuu wa maisha mkatuita
'wamanchinga' eti leo mnatuona
mashujaa n unafiki.
tulisafir kwa wik 2 kuja dar
kwenye barabara ya tope kwa
miaka 50 na hamkutujari wala
kututetea,tulikaa gizani kwa mda
mrefu kwa kukosa umeme wa
uhakika,eti leo mnatuambia
'tutaishi kama ulaya' kisa gas na
mnataka kuipeleka dar! ni kuto
kututhamini.
mlipo amishiwa mtwara kikazi
mligoma kuja mkadiriki hata
kuacha kazi kisa mtwara
hakustahili kuishi watu,iweje leo
eti 'wana mtwara tuko pamoja
mpaka kieleweke' ni unafiki.
mliita mtwara ngome yenu ya
kupatia kura,leo tunadai haki yetu
mnatuona
wahaini,chura,mambumbu,
mnatupiga mabomu na kutuua
kisa mshakula 10% ni dhuluma na
unyanyasaji.
wakati nyie mlikua mnakunywa
soda kwa sh 150,sis mtwara sh
600,huko kwenu kilo ya nyama
ilikua sh 1000 huku mt sh
3000,hapo bado unga,mchele n.k
eti leo tumepewa neema mnadai
mtwara wabinafsi gas ya watz
wote,basi njoni mtwara tuifaidi
sote ikiwa huku huku.
GAS MTWARA.CO
 
Acha uchochezi dogo, nani kakwambia kusini kusini kuna barabara ya tope?
 
hii nimeikubali kweli inauma mno tabu ya watawala hawapendi kujishusha
 
ina logic sana hii post.....I think viongozi inabidi waisome hii na kuitafakari......if we are not carefully southern sudan problem will be on our side now.....it is something very logic and true

Mawazo ya uhasi hayo, hizo barabara, madaraja, hospitals, mashule, na miundombinu mingine imejengwa kwa pesa gani, za gasi? Hiyo miundo mbinu imejengwa kwa pesa za raslimali zilizopo mikoa mingine.
Varangati likianza akuna mtanzania atakayefaidi hiyo gasi, mkiwemo nyinyi.
 
Daah mkuu umenitoa chozi,nikikumbuka adha tuliyoipata mtwara inauma sana,nakumbuka nilipoenda fm 5 pale bagamoyo sec 2004 kuna dogo somebody shayo aliniuliza we mtu wa wapi nkamwambia mtwara daah aliniuliza tena "mtwara ndo wapi?" aisee niliumia sana.

nimetoka kutumikia ban leo ila bdo naendeleza harakati no matter what...enhee nimekumbuka mama salma ni wa kwetu wewe mlaze mzee kavu miez mi wili tu mwenyewe atachange mawazo yke kuhusu gas.

Jamaa ana wake wengine.
 
Hii ni kwawana wa mtwara, nataka muendelee kukomaa mpaka serikali ikaenanyi meza moja kujadili muafaka wa gesi hiyo. sisi tuna mali nyingi ukanda wetu, lkn serikali ilichotufanyia ni aibu hata kusema. tumeachiwa mashimo, barabara hata moram ndo imewekwa juzijuzi, ajira kwa watoto wetu hamna, mpaka ukamwombe ghasia mwana wa Hawa wa mpwa wa baga moyo ndo uajiriwe hapa kwetu, hakuna chuo kikuu chochote cha serikali au shule ya sekondari nzuri ya kuwaendeleza watu wa ukanda wa huku, siku hizi serikali ndo inakodi vijumba vya watu wanaweka bango, eti institute of.....accounting, watu wa jamii ya huku wamebaki masikini sana wakati mali nyingi tunazo!zimeenda kujenga kwingine. nawaasa wana mtwara, kufatia dhuruma hii wakomae mpaka wakae meza moja na wajadili itawanufaisha vipi wana jamii ya kusini, the formally marginalized areas of Tanzania!
 
...umesikika,bunduki haitaondoa ukweli huu ndani ya mioyo ya watu,hususan mtwara pipos....
 
Rasilimali za nchi hii ni za wote.
...pale tu zitakapo tumika kwa manufaa ya wote,vinginevyo ni maneno tu,tunalinda mbuga (tembo) zetu unaona wanaofaidi,nyerere katuachia dhahabu, sitaki kusikia kinachotokea,hata shule wameshindwa kutujengea...! kweli rasilimali za nchi hii ni za "wote"....
 
nafikiri serikali ikae chini na watu wenye busara waupate ukweli,maisha siyo dar peke yake,naamini kwa upumbavu wa chama tawala wangeweza kusema mlima Kilimanjaro uamie dar kwani ndo panafikika kwa urahisi,mambo ya gesi yafanyikie mtwara ili nao wapate maendeleo.serikali inakera kwelikweli.



Tabia ya kijinga na upumbavu kuwafanya wananchi waamini kuwa kila kitu lazima kiwe Dar tu ktk nchi hii. Dodoma leo zaidi ya miaka 20 pesa zinatengwa kila mwaka kwenye budget na zinaliwa, na makao makuu hayahamiwi. Iliichukua Nigeria miaka michache sana kuhamisha makao makuu kwenda Abuja.
Wakati wa watu wachache wanaounda serikali kuu wasiozidi 100 ktk nchi nzima na mtandao wao kuwafanya watanzania zaidi ya milioni 45 wajinga umepita. Itafika kipindi tutasema liwalo na liwe, binadamu hakuzaliwa kuishi milele bali kuacha historia. watawala wakumbuke Tanzania hatuko ktk kisiwa cha peke yetu ktk dunia hii.
 
Kwa miaka nenda rudi, Mtwara mmekuwa mkinufaika na rasilimali za Alimasi ya Mwadui, (Kumbuka Alimasi huchimbwa Mwadui, na TAN-CUT ALMASI iko Iringa), Mmenufaika na dhahabu toka Buzwagi, Mmenufaika na fedha za utalii toka Serengeti, na kila Mkoa ulipopata gawio la Taifa, Mkoa haukukataa kuzipokea kwa kuwa zinatoka nje ya Mkoa. Leo Mtwara kuna gesi, basi mnaona gesi ni yenu, wakati mkinufaika na vya wenzenu, mliona vitamu. Poleni sana, GESI ITATOKA. iwe kwa kheri au kwa shari. Na ninyi onjeni mrahaba wa 0.03%. KIDUMU CHAMA.

CCM mmekula rasilimali nyingi sana za watanzania na kuwaacha wananchi masikini wa kutupwa!!!
ila hili la gesi ya mtwara limewakaa kooni na for sure mtaitema hiyo 10% mliopokea toka kwa majambazi wa kizungu na kichina
 
Kwa miaka nenda rudi, Mtwara mmekuwa mkinufaika na rasilimali za Alimasi ya Mwadui, (Kumbuka Alimasi huchimbwa Mwadui, na TAN-CUT ALMASI iko Iringa), Mmenufaika na dhahabu toka Buzwagi, Mmenufaika na fedha za utalii toka Serengeti, na kila Mkoa ulipopata gawio la Taifa, Mkoa haukukataa kuzipokea kwa kuwa zinatoka nje ya Mkoa. Leo Mtwara kuna gesi, basi mnaona gesi ni yenu, wakati mkinufaika na vya wenzenu, mliona vitamu. Poleni sana, GESI ITATOKA. iwe kwa kheri au kwa shari. Na ninyi onjeni mrahaba wa 0.03%. KIDUMU CHAMA.
Uwe mchungu kwa maliasili yako. Wenzako wananyanyua dhahabu mchana kweupe kwa ndege zao kupeleka SA na Canada ambako wanajenga miji ya kisasa, wewe unaridhika na asilimia 0.03 ya mrahaba!
 
Mi naunga mkono madai ya wanamtwara bila kuhatarisha umoja wa kitaifa.
Madai yao sio kwamba gesi wasifaidi wengine, bali isipelekwe Dar. Ibaki mtwara lakini kwaajili ya Tz nzima. Sio kweli kwamba ukipeleka Dar tu ndo Dar wanaweza pata Tz nzima.
 
Katika harakat za mtwara serikal mjue kabisa ni maamuzi sahihi na ya kwao wenyewe wana mtwara hakuna mtu yeyote au chama chochote cha siasa kilicho chochea,hzi vurugu ni nyie serikali mlio sababisha,kutokana na kutaka kuzizika ndoto za maendeleo ya kusini tuliyosubiria kwa miaka 50 sasa.
dharau zenu zitatufikisha pabaya na hakika kama mtaendelea hvi basi yaliyotokea sudan yanakuja mtwara.
 
Kwa miaka nenda rudi, Mtwara mmekuwa mkinufaika na rasilimali za Alimasi ya Mwadui, (Kumbuka Alimasi huchimbwa Mwadui, na TAN-CUT ALMASI iko Iringa), Mmenufaika na dhahabu toka Buzwagi, Mmenufaika na fedha za utalii toka Serengeti, na kila Mkoa ulipopata gawio la Taifa, Mkoa haukukataa kuzipokea kwa kuwa zinatoka nje ya Mkoa. Leo Mtwara kuna gesi, basi mnaona gesi ni yenu, wakati mkinufaika na vya wenzenu, mliona vitamu. Poleni sana, GESI ITATOKA. iwe kwa kheri au kwa shari. Na ninyi onjeni mrahaba wa 0.03%. KIDUMU CHAMA.

Wewe ni mchochezi namba 1!God forbid!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom