Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Mlituona maskini,hatuja soma,tumelala,hatuna uelewa,tulipokuja dar kutafuta unafuu wa maisha mkatuita 'wamanchinga' eti leo mnatuona mashujaa n unafiki.
tulisafir kwa wik 2 kuja dar kwenye barabara ya tope kwa miaka 50 na hamkutujari wala kututetea,tulikaa gizani kwa mda mrefu kwa kukosa umeme wa uhakika,eti leo mnatuambia 'tutaishi kama ulaya' kisa gas na mnataka kuipeleka dar! ni kuto kututhamini.
mlipo amishiwa mtwara kikazi mligoma kuja mkadiriki hata kuacha kazi kisa mtwara hakustahili kuishi watu,iweje leo eti 'wana mtwara tuko pamoja mpaka kieleweke' ni unafiki.
mliita mtwara ngome yenu ya kupatia kura,leo tunadai haki yetu mnatuona wahaini,chura,mambumbu, mnatupiga mabomu na kutuua kisa mshakula 10% ni dhuluma na unyanyasaji.
wakati nyie mlikua mnakunywa soda kwa sh 150,sis mtwara sh 600,huko kwenu kilo ya nyama ilikua sh 1000 huku mt sh 3000,hapo bado unga,mchele n.k eti leo tumepewa neema mnadai mtwara wabinafsi gas ya watz wote,basi njoni mtwara tuifaidi sote ikiwa huku huku.
GAS MTWARA.COM
tulisafir kwa wik 2 kuja dar kwenye barabara ya tope kwa miaka 50 na hamkutujari wala kututetea,tulikaa gizani kwa mda mrefu kwa kukosa umeme wa uhakika,eti leo mnatuambia 'tutaishi kama ulaya' kisa gas na mnataka kuipeleka dar! ni kuto kututhamini.
mlipo amishiwa mtwara kikazi mligoma kuja mkadiriki hata kuacha kazi kisa mtwara hakustahili kuishi watu,iweje leo eti 'wana mtwara tuko pamoja mpaka kieleweke' ni unafiki.
mliita mtwara ngome yenu ya kupatia kura,leo tunadai haki yetu mnatuona wahaini,chura,mambumbu, mnatupiga mabomu na kutuua kisa mshakula 10% ni dhuluma na unyanyasaji.
wakati nyie mlikua mnakunywa soda kwa sh 150,sis mtwara sh 600,huko kwenu kilo ya nyama ilikua sh 1000 huku mt sh 3000,hapo bado unga,mchele n.k eti leo tumepewa neema mnadai mtwara wabinafsi gas ya watz wote,basi njoni mtwara tuifaidi sote ikiwa huku huku.
GAS MTWARA.COM