Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Bravo bravo.1. Kuleni malimao na machungwa kwa wingi
2. Tumieni Detto kunawia
3. Kaeni maeneo yenye joto/jua inavyosemekana virusi vipya havienei sana kwenye joto
4. Epukeni kula vyakula visivyoiva hasa maziwa na nyama
5. Katika hali kama hiyo kamwe msile vibudu au mifugo yenye ugonjwa
6. Hamasishaneni kunawa mara kwa mara kwa kutumia maji na sabuni
7. Watu wanaopelekewa vituo vya afya waeleze homa ilivyowapata na maeneo waliyotembelea mara ya mwisho
8. Watu wanapokohoa/kupenga watumie karatasi/tissue wazitupe baada ya matumizi kuzuia kueneza ugonjwa
9. Watu waepuke kugusa pua macho na mdomo na kushikana mikono
10.Hakikisheni mamlaka husika kwenye maeneo yenu zinapata ujumbe huu
Hala hala msilianzishe Wajameni........
Wewe jamaa ulikuwa unafahamu Corona vizuri toka kitambo sana.