afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,983
- 1,574
Wanabodi tuitendee haki nchi yetu na watanzania wenzetu wasio na uwezo wa kumudu gharama kubwa za vyakula hapa nchini kwa sababu ya uhaba wa chakula uliosababishwa na ukame.
Hapa kwetu kijijini tumelima zaidi ya majembe 3 kwa msumu huu bila mafanikio, yaani tulilima mara ya kwanza yakakauka, tukafyeka tukalima tena na tena lakini wapi.
Tumelima viazi lakini havijakomaa kwa sababu ya uhaba wa mvua. Sasa hapa kwetu kijijini debe la mahindi ni elfu 25000 tena yameongezwa maji kidogo ili yavimbe. Wananchi tunahangaika. Mazao yetu yameharibika, wengi hatuna uwezo wa kumudu gharama za chakula.
Serikali ilete chakula angalau tununue kwa bei nafuu. Hatutaki vya bure ila Wafanyabiashara wanapandisha bei kihorera serikali hii ipo kimya.
Wazee wamesikika wakiilaani serikali na CCM kwa sababu ya kuwatelekeza wafe na njaa wakati waliipigia kura.
Ni huku kwetu usukumani hali ni tete sana. Sijui hali ya sehemu zingine ikoje.
Twafaaaaaaaaaaaaaaa
Hapa kwetu kijijini tumelima zaidi ya majembe 3 kwa msumu huu bila mafanikio, yaani tulilima mara ya kwanza yakakauka, tukafyeka tukalima tena na tena lakini wapi.
Tumelima viazi lakini havijakomaa kwa sababu ya uhaba wa mvua. Sasa hapa kwetu kijijini debe la mahindi ni elfu 25000 tena yameongezwa maji kidogo ili yavimbe. Wananchi tunahangaika. Mazao yetu yameharibika, wengi hatuna uwezo wa kumudu gharama za chakula.
Serikali ilete chakula angalau tununue kwa bei nafuu. Hatutaki vya bure ila Wafanyabiashara wanapandisha bei kihorera serikali hii ipo kimya.
Wazee wamesikika wakiilaani serikali na CCM kwa sababu ya kuwatelekeza wafe na njaa wakati waliipigia kura.
Ni huku kwetu usukumani hali ni tete sana. Sijui hali ya sehemu zingine ikoje.
Twafaaaaaaaaaaaaaaa